Jamani tusubili PAC si kila jambo lipatalo support ya wengi ni la ukweli "Inawezekana Prof. MUHONGO anazo facts" Ngoja tusubili ukweli utadhihiri.
Swala ni pesa zimeliwa au hazijaliwa
Wewe unamtetea mtu anayetudharau watanzania bila sababu. Bado unamuona ndo mtu wa maana. Yeye ni kiburi tu na jazba hata kwa vitu vidogo. Huu sio usomiHapa watu mtaongea mpaka povu litawatoka. Hakuna asiyejua uwezo wa Prof Muhongo. Jamaa ni next level hata hayo majina mnayotajaga hakuna mtu alishawai kuonyesha Prof Kausika vip. Tuache jamaa aongee najua kunawatu watakimbia . Hana siasa yeye kazi tu . Mzee wa facts and figures. Dalali ananamuita DALALI hamumunyi maneno . Waliozoea easy ride not this time .
Bro Mimi agree with you the problem yetu watanzania ni moja ukweli kwetu hatujazoea.hatuna utaifa umimi kwa sana:tonguez:Hapa watu mtaongea mpaka povu litawatoka. Hakuna asiyejua uwezo wa Prof Muhongo. Jamaa ni next level hata hayo majina mnayotajaga hakuna mtu alishawai kuonyesha Prof Kausika vip. Tuache jamaa aongee najua kunawatu watakimbia . Hana siasa yeye kazi tu . Mzee wa facts and figures. Dalali ananamuita DALALI hamumunyi maneno . Waliozoea easy ride not this time .
Na ndege yao Emirateschezeya kuruka first class. Sasa sijui ataweza kukaa Economy, Aisee Tanzania ina mambo kweli
kwa utetezi huo wa kusema niwivu waliokosa vitalu????? Ok!, sawa tunakubali kuwa ni wivu, na ndo kibali cha ukwapuaji wa pesa za escrow!!!!!!!!jamani tusubili pac si kila jambo lipatalo support ya wengi ni la ukweli "inawezekana prof. Muhongo anazo facts" ngoja tusubili ukweli utadhihiri.
Mi zaidi yako
Katika kikao cha ndani ya CCM, Waziri wa nishati Sospeter Muhongo amesema bayana kwamba hatishwi na wabaishwaji na kamwe hawezi kujiuzulu kutokana na chuki za mafisadi wanapigania vitalu vya gesi na kama atalazimika kujiuzulu siyo tu bunge litayumba, bali ardhi ya Tanzania itatikisika, kwa sababu anazo data za uhakika kuonyesha hili swala la IPTL ni mpango uliosukwa na madalali walionyimwa vitalu vya gesi na wale walivuliwa uwakilishi wa tanesco kisheria
Katika kikao cha ndani ya CCM, Waziri wa nishati Sospeter Muhongo amesema bayana kwamba hatishwi na wabaishwaji na kamwe hawezi kujiuzulu kutokana na chuki za mafisadi wanapigania vitalu vya gesi na kama atalazimika kujiuzulu siyo tu bunge litayumba, bali ardhi ya Tanzania itatikisika, kwa sababu anazo data za uhakika kuonyesha hili swala la IPTL ni mpango uliosukwa na madalali walionyimwa vitalu vya gesi na wale walivuliwa uwakilishi wa tanesco kisheria
Prof Muhongo you are not the only person to lead the ministry, you are just hypocrite professor who have used your profession to ruin the country, we are really tired of your arrogance. Before you we had the ministry, we had Tanzania and on your leaving the same shall be there.
Kova na Mangu, jama anawatingishia kiberiti na nyie mnachekelea?Katika kikao cha ndani ya CCM, Waziri wa nishati Sospeter Muhongo amesema bayana kwamba hatishwi na wabaishwaji na kamwe hawezi kujiuzulu kutokana na chuki za mafisadi wanapigania vitalu vya gesi na kama atalazimika kujiuzulu siyo tu bunge litayumba, bali ardhi ya Tanzania itatikisika, kwa sababu anazo data za uhakika kuonyesha hili swala la IPTL ni mpango uliosukwa na madalali walionyimwa vitalu vya gesi na wale walivuliwa uwakilishi wa tanesco kisheria
KAMA ALITIA MKONO KWENYE WIZI HUO, ATAKUWA HAJAINGIA CHOO CHA KIKE BALI CHA WATOTO YAHANI KAKALIA POTINadhani Muhongo hajaelimika ila amejua KUSOMA NA KUANDIKA TU.
Pole le Prof.sana umeingizwa choo cha kike.Tatizo ulionjeshwa ASALI SASA UNATAKA KUCHONGA MZINGA.
Katika kikao cha ndani ya CCM, Waziri wa nishati Sospeter Muhongo amesema bayana kwamba hatishwi na wabaishwaji na kamwe hawezi kujiuzulu kutokana na chuki za mafisadi wanapigania vitalu vya gesi na kama atalazimika kujiuzulu siyo tu bunge litayumba, bali ardhi ya Tanzania itatikisika, kwa sababu anazo data za uhakika kuonyesha hili swala la IPTL ni mpango uliosukwa na madalali walionyimwa vitalu vya gesi na wale walivuliwa uwakilishi wa tanesco kisheria
naam mkuu pasco, na amasika kuungana na wewe...hili suala si jepesi kama tunavyotaka kujiaminisha watanzania.. We need to think big....yaani ukisikia moto wa kiangazi kwenye nyika hauachagi hata ukuti uliosimama ndio huu!