Akiongea Leo asubuhi hajaondoka usiku wa leo kuelekea SPAIN-Barcelona kwa ajili ya kwenda kutoa mada katika mkutano ulio andaliwa ili kutathmini demokrasia katika nchi za kiarabu athari zake kwa nchi nyingine, akiongelea suala la kuvuliwa uanachama kwa aliyekuwa mbunge wa wawi Hamadi Rashid amesema CUF ni taasisi ni lazima ifuate katiba yake na hii si mara ya kwanza kuchukua maamuzi mazito kama haya, Cuf ilishawahi kuwavua uanachama James mapalala, micheal nyaruba, Naila jidawi, na kuna wengine wengi waliotoka CUF na kwenda kuunda vyama, CHAUSTA, FORD, na sasa ADC lakini CUF bado inaendelea kuwa Ngangari, kama chuma cha pua, alisema M/kiti huyo wa CUF ambaye ni bingwa wa UCHUMI DUNIANI.