Prof Lipumba asema.. CUF ni Ngangari, ni Chuma cha Pua.

mkigoma

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
1,180
309
Akiongea Leo asubuhi hajaondoka usiku wa leo kuelekea SPAIN-Barcelona kwa ajili ya kwenda kutoa mada katika mkutano ulio andaliwa ili kutathmini demokrasia katika nchi za kiarabu athari zake kwa nchi nyingine, akiongelea suala la kuvuliwa uanachama kwa aliyekuwa mbunge wa wawi Hamadi Rashid amesema CUF ni taasisi ni lazima ifuate katiba yake na hii si mara ya kwanza kuchukua maamuzi mazito kama haya, Cuf ilishawahi kuwavua uanachama James mapalala, micheal nyaruba, Naila jidawi, na kuna wengine wengi waliotoka CUF na kwenda kuunda vyama, CHAUSTA, FORD, na sasa ADC lakini CUF bado inaendelea kuwa Ngangari, kama chuma cha pua, alisema M/kiti huyo wa CUF ambaye ni bingwa wa UCHUMI DUNIANI.
 
No wonder Profesa Li Pumba kwenda kuongelea demokrasia ya nchi za kiarabu kwani chama chake kina CV ya kutowa mwakilishi wa sifa hizo!!
 
Akiongea Leo asubuhi hajaondoka usiku wa leo kuelekea SPAIN-Barcelona kwa ajili ya kwenda kutoa mada katika mkutano ulio andaliwa ili kutathmini demokrasia katika nchi za kiarabu athari zake kwa nchi nyingine, akiongelea suala la kuvuliwa uanachama kwa aliyekuwa mbunge wa wawi Hamadi Rashid amesema CUF ni taasisi ni lazima ifuate katiba yake na hii si mara ya kwanza kuchukua maamuzi mazito kama haya, Cuf ilishawahi kuwavua uanachama James mapalala, micheal nyaruba, Naila jidawi, na kuna wengine wengi waliotoka CUF na kwenda kuunda vyama, CHAUSTA, FORD, na sasa ADC lakini CUF bado inaendelea kuwa Ngangari, kama chuma cha pua, alisema M/kiti huyo wa CUF ambaye ni bingwa wa UCHUMI DUNIANI.
RIP CUF....mtoto wako ADC tutakulelea kwa kushirikiana na baba yake mzazi CCM.
Ukifika huko ahera tusalimie NCCR,TLP na CCK...pia tunawaomba muandae nafasi ya
mume wenu(CCM) maana siku si nyingi nae anakata roho! RIP CUF
 
Mmekwisha zenu nyie, mngelikuwa hivyo basi uchaguzi wa Arumeru msingekosekana. hata moshi una kivuli.tunawahesabia ck
 
Mengine hata sio ya kujadili.
Mtoto akimwaga chai sidhani kama iwe ishu ya familia kujadili kutwa nzima.
Ni stage za ukuaji tu, hakuna exception.

Watajuta siku walioamua kuaventure na baba lao.
 
Akiongea Leo asubuhi hajaondoka usiku wa leo kuelekea SPAIN-Barcelona kwa ajili ya kwenda kutoa mada katika mkutano ulio andaliwa ili kutathmini demokrasia katika nchi za kiarabu athari zake kwa nchi nyingine, akiongelea suala la kuvuliwa uanachama kwa aliyekuwa mbunge wa wawi Hamadi Rashid amesema CUF ni taasisi ni lazima ifuate katiba yake na hii si mara ya kwanza kuchukua maamuzi mazito kama haya, Cuf ilishawahi kuwavua uanachama James mapalala, micheal nyaruba, Naila jidawi, na kuna wengine wengi waliotoka CUF na kwenda kuunda vyama, CHAUSTA, FORD, na sasa ADC lakini CUF bado inaendelea kuwa Ngangari, kama chuma cha pua, alisema M/kiti huyo wa CUF ambaye ni bingwa wa UCHUMI DUNIANI.

Kaka hizo hadithi, wakati huo kunagiza la ufahamu, angalia Usajili wa muda MTU ya nguvu haijawahi kutokea kwa chama kuchukua usali wa muda MTU kibao. Lipumba hajajibu hoja, Katiba ya CUF hakuna kamati ya maadili! mkutano mkuu wa CUF hajauitisha zaidi ya miaka Mitatu, huu ni uvunjifu wa Katiba. Matumizi Mabaya ya fedhamza chama! Huu ni wizi wa kodi,na Hamadi ,Doyo, Shoka, Saanani sio Nyaruba, MApalala wala Jidawi, hizi ni namba.
Kalishwa maneno na kina Juha na Sultani Seif (mfalme wa CUF) pamoja na Uprofesa wake kachomekewa akajaa kichwa kichwa KAMA alivyochomekewa mwaka 2000 baada ya Uchaguzi Mkuu kwamba CUF imeibiwa kura,alipotakiwakuthibitisha hanahoja akashitakiwa,akalipa million kumi,kwa mwenyenyekiti watume yauchaguzi Zec,hivyo Lipumba anaendeleza uongowake,na hii nisiasa,sio uchumi,pia siku hii hafanyi kazi ya uchumi,anafanya kazi ya utarishi,
 
Dhambi ya kumvua uanachama mwanzilishi wa chama bwana James Mapalala haitawaacha salama. Hapa ni swala la muda tu! R.I.P CUF.
 
Iko ngangari kweli wameanza kuogopa kugombea kwa visinizio uchwara?.....
 
Akiongea Leo asubuhi hajaondoka usiku wa leo kuelekea SPAIN-Barcelona kwa ajili ya kwenda kutoa mada katika mkutano ulio andaliwa ili kutathmini demokrasia katika nchi za kiarabu athari zake kwa nchi nyingine, akiongelea suala la kuvuliwa uanachama kwa aliyekuwa mbunge wa wawi Hamadi Rashid amesema CUF ni taasisi ni lazima ifuate katiba yake na hii si mara ya kwanza kuchukua maamuzi mazito kama haya, Cuf ilishawahi kuwavua uanachama James mapalala, micheal nyaruba, Naila jidawi, na kuna wengine wengi waliotoka CUF na kwenda kuunda vyama, CHAUSTA, FORD, na sasa ADC lakini CUF bado inaendelea kuwa Ngangari, kama chuma cha pua, alisema M/kiti huyo wa CUF ambaye ni bingwa wa UCHUMI DUNIANI.

Siasa haziwezi aende zake, chama kimufia mikononi mwake hana jipya
 
Kaka hizo hadithi, wakati huo kunagiza la ufahamu, angalia Usajili wa muda MTU ya nguvu haijawahi kutokea kwa chama kuchukua usali wa muda MTU kibao. Lipumba hajajibu hoja, Katiba ya CUF hakuna kamati ya maadili! mkutano mkuu wa CUF hajauitisha zaidi ya miaka Mitatu, huu ni uvunjifu wa Katiba. Matumizi Mabaya ya fedhamza chama! Huu ni wizi wa kodi,na Hamadi ,Doyo, Shoka, Saanani sio Nyaruba, MApalala wala Jidawi, hizi ni namba.
Kalishwa maneno na kina Juha na Sultani Seif (mfalme wa CUF) pamoja na Uprofesa wake kachomekewa akajaa kichwa kichwa KAMA alivyochomekewa mwaka 2000 baada ya Uchaguzi Mkuu kwamba CUF imeibiwa kura,alipotakiwakuthibitisha hanahoja akashitakiwa,akalipa million kumi,kwa mwenyenyekiti watume yauchaguzi Zec,hivyo Lipumba anaendeleza uongowake,na hii nisiasa,sio uchumi,pia siku hii hafanyi kazi ya uchumi,anafanya kazi ya utarishi,

Eti ADC hicho ni chama au kikundi cha ngoma, kila kitu mnaiga, bendera mnaiga, neno Dira ya Mabadiliko, mmeiga mlilokuja nalo jipya ni lipi?
 
CUF ni ngangari? CUF ya Maalim Seif na Jussa au CUF ya Barwani na Sakaya? Huyu Prof ama ni msanii au hajali chochote ili mradi ajira yake iko salama.
 
CUf ni chuma cha pua, kimepita katika majaribu mengi, usilinganishe na tu vyama vingine ambavyo vinaendeshwa kutoka katika mifuko ya watu hao, CUF mtaji wake ni wanachama na mmeshuhudia wenyewe katika mapokezi ya M/kiti Prof Lipumba.
 
Akiongea Leo asubuhi hajaondoka usiku wa leo kuelekea SPAIN-Barcelona kwa ajili ya kwenda kutoa mada katika mkutano ulio andaliwa ili kutathmini demokrasia katika nchi za kiarabu athari zake kwa nchi nyingine, akiongelea suala la kuvuliwa uanachama kwa aliyekuwa mbunge wa wawi Hamadi Rashid amesema CUF ni taasisi ni lazima ifuate katiba yake na hii si mara ya kwanza kuchukua maamuzi mazito kama haya, Cuf ilishawahi kuwavua uanachama James mapalala, micheal nyaruba, Naila jidawi, na kuna wengine wengi waliotoka CUF na kwenda kuunda vyama, CHAUSTA, FORD, na sasa ADC lakini CUF bado inaendelea kuwa Ngangari, kama chuma cha pua, alisema M/kiti huyo wa CUF ambaye ni bingwa wa UCHUMI DUNIANI.

hizi safari safari zake ndizo zitakifanya chama chake kife sasa..... maana aliposafiri last time aliporudi akakuta the house was on fire!!

ningekuwa mimi ndiye prof lipumba ningetulia kidogo kuweka the house back in order kwanza.
 
Huyu bwana kwa nini asiachane na siasa,huko anakokwenda ni kwa maslahi ya chama au? wenye taarifa tafadhali tuwekeeni humu
sasa namkumbuka JK wakati wakati madaktari wanaanza mgomo yeye akapande ndege kwenda wapi sijui kurudi anasema wapigania haki hawana aibu kuuwanga mkono madaktari
chama kina mpasuko yeye anapanda ndege anaenda kumtazama MESS kisha anasema chama ngangali mwenyekiti huyo!
 
Alipofukuzwa mapalala alianzisha shausta nakumbuka aliondoka na watu wengi sn toka cuf lkn mpk sasa shausta inapumulia mipila.alipofukuzwa Ramadhan mzee,msabaha,neyla jidawi walianzisha ford hiki chama kimekufa kbs.na leo hii adc ya hamad atawezaa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom