Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

Chadema naona walikurupuka kuunda huu UKAWA sasa unawagharim, maana CHADEMA walikua wanajitosheleza kupambana na CCM. sasa wakati ulikua ndio huu, endapo ccm watashinda itakua ccm daima.
 
Time will tell, sooner or later. Jambo la Muhimu ni kusonga mbele. Katibu Mkuu itisha mkutano mkuu, fanya uchaguzi wa mwenyekiti maana hata makamu mwenyekiti hayupo. Things will go so long as God is within!
 
kama ipo habari mbaya kuisikia masikioni mwa watanzania wapenda mabadiliko
basi ni hii
 
Naomba n declee interest kuwa mm sio mwanachama wa chama chochote na n mwanaharakati. Kwa utaft nilio ufanya nimegundua kua lipumba anafkr kuwa chama knacho nufaika na ukawa ni chama cha makamanda chadema manake kila anae hamia anaenda chadema cuf hawapat hvyo kaona cuf itamfia mikonon mwake mbil ameona inaelekea chama kmekosa mvuto manake mpaka kwenye ngome za cuf watu wanahamia chadema hvyo kapata hofu kuwa wanachama watapungua tatu amewaza kuwa chadema inaingia zanzbar kwa nguv kwa kuwatumia maalm na babu duni nne kanymwa fursa ya kuwania uraic kuptia ukawa na tano maalm ana nguv kumzd mwenyekt kwan hata ruzuku kwa kiwango kikubwa inatoka zenji hvyo maal ana nguv prof hana nguv hii inathbtka baada ya mtatro juliuc kupgwa chn kwenye nafas ya naib katb mkuu na kupewa sakaya ambae n chaguo la maalm wakat pro almtaka julius mtatro huu n uchunguz bnafs wa sabab zlzo mfanya pro ajiuzuru
 
AMEN!
Mungu anatupigania...ni bora twende taratibu lakini kwa misingi imara...si kukurupuka na kuangukia pua
God is on throne.... We shall see whose words count, hakuna fisadi atakanyaga ikulu ya Tanzania, its a decree!

Mafisadi mpaka wakae chini..... Hii move mtacheza mpaka mwisho kwa style ya changing roles bila kujua anayewachezesha ni nani yupo wapi na ana capability na capacity gani!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
sisi tunatafuta mtaji wa kura ili tuitoe ccm madarakani eti yeye Lipumba anasema tunakosea kuwakaribisha waliounga mkono katiba pendekezwa.
Sasa bila kuunganisha nguvu na kuifuta ccm madarakani tutaweza vipi kuipiga chini hiyo katiba pendekezwa??

kwakweli Lipumba ametoa sababu shallow mno.

Shallow is an understatement; katoa sababu za kijinga na kipumbavu sana!! Anybody who acts cagey; has something to hide!! kauli na body language zinathibitisha hilo, ni dhahiri bin shayiri kwamba Lipumba anatumiwa na CCM na system kuhujumu UKAWA; Jamani mnakumbuka video yake alipokiri kuingia makubaliano na Kikwete ya kuisaidia CCM katika uchaguzi wa mwaka 2010?!! na sasa hataki kuhamia chama kingine ili abaki kama "Mole" ndani ya UKAWA apate nafasi ya kuendelea kuwahujumu!! Mbatia; Mbowe; Dr Makaidi, Maalim Seifu; fukuzeni mapema huyu mchawi!

Kama dhamiri yake inamsuta kwa nini anataka kuendelea kuwa karibu na UKAWA na kuahidi kushiriki katika kampeni za uchaguzi ambazo mbaya wake Lowassa ndiye anapeperusha bendera?! jamani jini hilo; limeropoka tushtuke!!
 
Naomba n declee interest kuwa mm sio mwanachama wa chama chochote na n mwanaharakati. Kwa utaft nilio ufanya nimegundua kua lipumba anafkr kuwa chama knacho nufaika na ukawa ni chama cha makamanda chadema manake kila anae hamia anaenda chadema cuf hawapat hvyo kaona cuf itamfia mikonon mwake mbil ameona inaelekea chama kmekosa mvuto manake mpaka kwenye ngome za cuf watu wanahamia chadema hvyo kapata hofu kuwa wanachama watapungua tatu amewaza kuwa chadema inaingia zanzbar kwa nguv kwa kuwatumia maalm na babu duni nne kanymwa fursa ya kuwania uraic kuptia ukawa na tano maalm ana nguv kumzd mwenyekt kwan hata ruzuku kwa kiwango kikubwa inatoka zenji hvyo maal ana nguv prof hana nguv hii inathbtka baada ya mtatro juliuc kupgwa chn kwenye nafas ya naib katb mkuu na kupewa sakaya ambae n chaguo la maalm wakat pro almtaka julius mtatro huu n uchunguz bnafs wa sabab zlzo mfanya pro ajiuzuru
 
Anachotaka kuwadanganya Watanzania ni kuwa kuwakaribisha ni kosa,PALE DODOMA walikuwa wanalinda kibarua tu lakini rohoni hata wao walikuwa hawaitaki katiba pendekezwa.AMESHANUNULIWA AENDE ZAKE
sisi tunatafuta mtaji wa kura ili tuitoe ccm madarakani eti yeye Lipumba anasema tunakosea kuwakaribisha waliounga mkono katiba pendekezwa.
Sasa bila kuunganisha nguvu na kuifuta ccm madarakani tutaweza vipi kuipiga chini hiyo katiba pendekezwa??

kwakweli Lipumba ametoa sababu shallow mno.
 
Kwa huo utetezi wake ndio napata mashaka ya kwamba kweli amepewa hela ili asaliti wenzake. Kwanza hiyo katiba anayoisema kuwa eti Lowasa aliunga mkono haijapita kokote kule na isitoshe kwa akili yake hata kama Lowasa angeipinga ndio isingepita?halafu nashangaa Prof. mzima anaeheshimika haamini katika mtu/Mwanasiasa kubadili itikadi ya Chama chake,Lowasa na kundi lake wametoka CCM na wameamua kuja upinzani kwenye itakadi tofauti na alipotoka.


Halafu yeye pia anasahau kuwa Mwaka 2010 alimpigia kampeni Kikwete tena huyu Kikwete ndio chanzo cha Katiba ya Wananchi chini ya Jaji Warioba kusiginwa na CCM,Kkwete ndio mwenye nafasi na mamlaka yote ya kukataa au kukubali Katiba ya Warioba kuliko hata hao anaowasema wakina EL. Je yeye Roho hajamsuta kwa kumfanyia kampeni mtu ambae baadae amekuja kusigina na kupora Katiba ya Wananchi na kuweka ya CCM? Lipumba aache unafiki na kama Viongozi wenzake wa Ukawa wangekuwa na mawazo ya kukumbuka yaliyopita sijui kama huu Ukawa ungekuwepo tokea mwanzo,je Mbatia angeamua kulipa fadhila kwa kuteuliwa na Kikwete kuwa Mbunge Ukawa ingekuwepo?
 
Mkuu sikuwahi kumfikira Lipumba kwamba ipo siku angeweza kufanya alichokifanya aiseee! Amenisononesha sana, maana nia ni kuiangusha CCM! Sina uhakika kama Lipumba ameamua kwa hiari yake mwenyewe! Lazima kuna "sabotage" na yeye amekuwa mrahisi sana kuiangamiza CUF! Ninachokiona ni kwamba CUF itaangamia maana UKAWA wataendelea kupambana!!

Anyway, tunamtakia maisha mema, ila hana nia kabisa ya kuiondoa CCM madarakan!!

Mkuu mie toka nilivyoona ile clip ya video pale mtambani sijawahi kuwa na amani nae tena.. Kwa hiyo hata alivyoingia na kutengeneza Ukawa sikuwa na imani nae hata kidogo.. Nashukuru sikutenda dhambi kwa kumfikiria vibaya kwani hivyo nilivyokuwa ninamfikiria ndio hivyo imekuja kutokea.. Kwa miaka yake ya uenyekiti ameshindwa kukijenga chama.. Haikuwa bahati mbaya kutokijenga chama.. Ilikuwa ni mikakati yake ya kuibomoa CUF..

Angekuwa anasutwa kweli na nafsi basi hata huo uanachama angejivua kwa usaliti aliowafanyia CUF na Ukawa.. Shame on him..
 
Lowasa naye ni mpinzani amekwenda kuusaka uraisi tu. Tatizo la kutojiamini tu kwa Mbowe na baadhi ya viongozi wa Upinzani. Wanasema tatizo mfumo lakini mpaka sasa EL kashabadilisha mfumo wa CHADEMA badala ya kubadilishwa na mfumo wa CHADEMA:
1.Kashabadilisha ilani ya uchaguzi
2. Kabadilisha ratiba ya uchaguzi
3.Kabadilisha gharama za uchaguzi
4.Kasababisha viongozi malegendary kuondoka mf: Prof.Lipumba na Dr.Slaa
5. Kabadilisha kauli mbiu

Natamani kujua chanzo cha habari hii! lakini hata hivyo kaulimbiu pamoja na kukubaliwa na chama kwamba itumike, kwa kawaida ni pendekezo la mgombea! Utakumbuka katika kipindi kile cha watangaza nia lukuki, tulikuwa na kauli mbiu lukuki! Kuhusu ilani ya uchaguzi, ikiwa ni kweli itabadilishwa na mgombea hii itakuwa ni hatari kubwa! Ndio maana natamani kujua chanzo cha habari hii! Mengine hayana mashiko, kwa maana masuala ya gharama za uchaguzi ni ya kisheria, kama anaweza kubadili sheria za nchi, then Hureee! Tunaye rais tayari kutoka UKAWA hata kabla ya uchaguzi!
 
Huyo hana uzalendo hata kidogo, asingejiuzuru katika wakati huu ambapo mshikamano unahitajika sana kwa UKAWA kuliko wakati wowote katika nchi hii.:wave:
 
sisi tunatafuta mtaji wa kura ili tuitoe ccm madarakani eti yeye Lipumba anasema tunakosea kuwakaribisha waliounga mkono katiba pendekezwa.
Sasa bila kuunganisha nguvu na kuifuta ccm madarakani tutaweza vipi kuipiga chini hiyo katiba pendekezwa??

kwakweli Lipumba ametoa sababu shallow mno.
Tatizo lenu mmekaribisha fisadi namba moja ambalo linakimbiwa na kila mtu mpaka wanyama wanajua kuwa Lowasa fisadi.
 
Naomba n declee interest kuwa mm sio mwanachama wa chama chochote na n mwanaharakati. Kwa utaft nilio ufanya nimegundua kua lipumba anafkr kuwa chama knacho nufaika na ukawa ni chama cha makamanda chadema manake kila anae hamia anaenda chadema cuf hawapat hvyo kaona cuf itamfia mikonon mwake mbil ameona inaelekea chama kmekosa mvuto manake mpaka kwenye ngome za cuf watu wanahamia chadema hvyo kapata hofu kuwa wanachama watapungua tatu amewaza kuwa chadema inaingia zanzbar kwa nguv kwa kuwatumia maalm na babu duni nne kanymwa fursa ya kuwania uraic kuptia ukawa na tano maalm ana nguv kumzd mwenyekt kwan hata ruzuku kwa kiwango kikubwa inatoka zenji hvyo maal ana nguv prof hana nguv hii inathbtka baada ya mtatro juliuc kupgwa chn kwenye nafas ya naib katb mkuu na kupewa sakaya ambae n chaguo la maalm wakat pro almtaka julius mtatro huu n uchunguz bnafs wa sabab zlzo mfanya pro ajiuzuru
Kama kuna kaukweli f'lan hivi hapa!
 
Wadau rujifunze siasa za uvumilivu na kuvumiana kwa dhati kabisa na sio uongo uongo. Tunatakiwa tuheshimu mawazo ya mtu kama katiba inavyosema. Kila mtu ana uhuru na mawazo yake mwenyewe ili mradi havunji sheria. Wangapi ambao toka vyama vingi vianze wameshahama kutoka vyama au kuacha kabisa. LIPUMBA AU DR SLAAA sio wa kwanza jamani. Tena kesi hii mbona ya kawaida sana. Inabidi tujiandae sasa na kubwa lao litakapokuwa linarudi kwao baada ya kumaliza kazi aliyotumwa. Hahahahaha hapo naona watu wanajichinja wenyewe. Itakuwa ni vilio na kusaga meno.
Viongozi wa ukawa mjifunze sasa, msikae kama mambumbumbu kazi kuwaza pesa tu. Ukiwa mchaga haina maana kila kitu ni dili tu. Vingine ndio hivyo vinawatokea puani. Mnajifanya mnajua kumbe mmepigwa changa la macho kweupee. Mezeni tu yote yanayokuja maana mnajifanya ni wataalam wa siasa.
Mimi nishajikatia tamaa mapema mbona. Tulivyompokea tu Lowasa nikajua tayari pigo la kwanza takatifu. Na dr Slaa nadhanj alioteshwa ndoto kung'amua mapema hivyo. LIPUMBA kazinduka naye ila kwa kuchelewa kidogo.
Basi tusubiri pigo takatifu la pili linalokuja. Yatakuwa yamebakia mawili tu kabla ya uchaguzi mkuu. Quote my words. Asalaaam aleikhum
 
katika safari ya mabadiliko ni mara chache sana kufika salama wote.Wengine husariti, hufa,huishiwa uvimilivu na hata kwenda kusuasua,tusikate tamaa maana ukombozi unasuruba nyingi na hizi sehemu yake shima CUF.
 
UKAWA ni umoja wa vyama vinavyounga mkono katiba ya Waryoba kwa Lowassa kukubali kugombea urais kupitia UKAWA bila shaka naye atakuwa amekubalina na katiba ya Waryoba hata kama mwanzoni alikuwa ana ikataa.

Hata alipokuwa CCM alikuwa ana fahamu malengo ya UKAWA ni yapi na alipohamia UKAWA alikuwa ana fahamu kuwa lengo moja wapo la UKAWA na ambalo lilikuwa chimbo la UKAWA ni kuunga katiba ya Waryoba.

Kwa vyovyote vile viongozi wa UKAWA akiwepo mwenyekiti wao ambaye ni Lipumba mwenyewe,sharti mojawapo ambalo watakuwa walimpa Lowassa siku alipokubali kuungana nao ni kuikubali katiba ya Waryoba.

Ninaamini hivyo kwa kuwa Lipumba wala kiongozi yeyote wa UKAWA hakuna hata mmoja aliyejitokeza kueleza masharti waliompa Lowassa wakati ana kwenda kujiunga UKAWA.

Na wala sitaki kuamini kuwa Lowassa ndiye aliyekuwa ana toa masharti yake kwa UKAWA ili apate nafasi ya kugombea urais kupitia UKAWA huku viongozi wa UKAWA wakikubaliana na masharti ya Lowassa kwa kuinamisha vichwa na kuinua vichwa kama kondoo wanaokwenda kutolewa kafara.

Wakati Lowassa ana fahamu kuwa kuikubali UKAWA ni kuikubali katiba ya Waryoba na kama Lowassa aliikubali UKAWA pasipo kuikubali katiba ya Waryoba hiyo siyo UKAWA tena na mtu ambaye ana takiwa aweke wazi kama Lowassa aliikubali UKAWA bila katiba ya Waryoba ni Lipumba mwenyewe.

Maadam Lipumba mwenyewe amekaa kimya na hakuna kiongozi yeyote aliyejitokeza kuweka wazi suala hilo ni wazi Lowassa atakuwa alimiza masharti yote ya UKAWA.
 
Back
Top Bottom