Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Preta unaitajuika huku uvae ile pedo nyekundu sl atakuazima kibanio
na kuna kope zangu namdai Husninyo....nitazipaka mascara nyekundu....ngoja nimzukie....
Preta unaitajuika huku uvae ile pedo nyekundu sl atakuazima kibanio
hi hi hi.....orayt orayt....ni kweli tuko mji mmoja na hii itaturahisishia sana kufanya Valentine......
sasa ili niweze kuwa Valentina wako....kabla sijakubali....sema kwanza hiyo sapraiz....maana zingine hazikawii kutoa mtu roho......nisije nikakosa siku muhimu bure.....
Aisee :washing:
Preta nishamuwahia kaka yangu. We kang'ae sharubu sehemu nyingne.
afadhali umekuja, hebu mwambie akulipie lile deni nnalokudai, anirushie kwa empesa kisha nitakujulisha nikiipata ndo mpange apwentimenti,, asijekuwa kachala majalala akakupotezea time yako...
ina maana PJ hajakupa.....?
kwani ulimpa aniletee? Kumbe ndo maana siku hizi ananikwepa sana. Anyway, usiwe na hofu Ndallo atalimaliza. Halafu tutaongea vizuri.
Haki ya nani hii thread lazima tuichakachue tu..."Preta Will You Be My Valantine Please!".
kama vipi si inategemeana na sound zangu unaweza kumeliminate huyo aliejaza nafasi na kunisubstitute, ili uweze kufeel the beat fresh, unaweza kuja kunisikiliza nipo hapa pembeni ya hizi ATM na Verossa moja nataka nielekee Kibada. Fanya hivyo baby.
Kabla haujaenda huko kibada nipitie hapa Mji mwema Beach nitakupeleka kama mshenga.
Preta unaitajuika huku uvae ile pedo nyekundu sl atakuazima kibanio
poa nitakucheck hapo south beach, nikiwa navuka, nafikiri itakuwa mzuka kabisa.
Napita mtaa huu.