Nani kakuambia press tv hawafanyi propaganda?kifupi ni moja ya channnel zinazojitahid kusambaza propaganda zake kwa hali na mali-na mbaya zaid inaponda kila ki2 westerners wanachofanya-hata kama wanakosea-Yah ndoyo TV inayorusha habari zake bila propagandana na kuueleza ubovu na uasi wa US,UK na nchi nyingine zinazokandamiza hii dunia kwa kuimpose sera zao za ushoga,unyonyaji na sheria za kimataifa jinsi zinavyovunjwa na hao jamaa..kwa mfano siku moja nilikua naangalia documentary moja iliyokua inalushwa kuhusu kampuni ya BARRICK jinsi inavyo haribu mazingira na inavyojipatia faida kubwa uku kirejesha faida kidogo kwa nchi husika...na hiyo documentaru ilikua ni nchi za America kusini au Asai na sasa Barrick wamevamia AFRICA na nchini kwetu pia...pia hizi kampuni zinamafungamano na serikali zao ambazo huwezi kudai kodi zaidi bila nchi zao kukutishia....
Tatizo haitadumu
Mi naipenda but ningeiadmire zaid km ingekuwa na correspondent bongo kwn KJ na washkaj zke labda tungewaskia the Hague.
Tatizo haitadumu
Haiwezi kuja bongo, ina correspondets nchi za kiarabu tuu, hasa zile zenye uprising.