bushman
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,411
- 743
Habari wakuuu,
Nimesikiliza kwa makini sana uchambuzi wa Ndugu Hussein Bashe,Nakubaliana nae baadhi ya issues nyingi ambazo yeye anaziita key issues zinazotokana na barua ya ndugu Kinana na Makamba.Moja ya issue ambayo nauungana nae ni utamaduni wa watu kuuitisha pressconference kutukana na kuchafua watu hakuanza awamu hii,ulikuwepo wakati wa Makamba na ulishamili wakati wa Kinana rejea falsafa ya kujivua gamba press conference za Kina Paul makonda na Nape na matusi dhidi ya Edward Lowassa.
Lakini napingana na Bashe kuwa Cyprian Musiba sio mwanaccm sio kweli kwa ssbu Cyprian Musiba ni mwanaccm na alishawahi gombea UBUNGE jimbo la Mwibara kwa Kangi LUGOLA na akapigwa mweleka kwenye kura za maoni na Kangi LUGOLA.
Bashe rudia tena kusoma hilo tamko la wazee kama walivyosema ni mkakati wa kisiasa ndio maana wao pia wamechukua mlengo wa kisiasa,kumsaidia mwenyekiti ni kumwambia ukweli kama anaandaa mkakati asitumie siri za chama au serikali kuwadhalilisha wengine kupitia watu kama kina Musiba na Philip Mwakibinga ni hatari mno hapo atakuwa anachomekea dela.
Yanayoendelea sasa kwenye mitandao videos na sauti yanadhihirisha kuwa wazeee wako well informed juu ya nn kinapangwa ndio maana wakajibu mapigo kwa ushauri wa Pius Msekwa.
Mwishoni nimeamini ili uwe mwanaccm lazima uwe mnafiki wa kiwango cha PhD. over
Nimesikiliza kwa makini sana uchambuzi wa Ndugu Hussein Bashe,Nakubaliana nae baadhi ya issues nyingi ambazo yeye anaziita key issues zinazotokana na barua ya ndugu Kinana na Makamba.Moja ya issue ambayo nauungana nae ni utamaduni wa watu kuuitisha pressconference kutukana na kuchafua watu hakuanza awamu hii,ulikuwepo wakati wa Makamba na ulishamili wakati wa Kinana rejea falsafa ya kujivua gamba press conference za Kina Paul makonda na Nape na matusi dhidi ya Edward Lowassa.
Lakini napingana na Bashe kuwa Cyprian Musiba sio mwanaccm sio kweli kwa ssbu Cyprian Musiba ni mwanaccm na alishawahi gombea UBUNGE jimbo la Mwibara kwa Kangi LUGOLA na akapigwa mweleka kwenye kura za maoni na Kangi LUGOLA.
Bashe rudia tena kusoma hilo tamko la wazee kama walivyosema ni mkakati wa kisiasa ndio maana wao pia wamechukua mlengo wa kisiasa,kumsaidia mwenyekiti ni kumwambia ukweli kama anaandaa mkakati asitumie siri za chama au serikali kuwadhalilisha wengine kupitia watu kama kina Musiba na Philip Mwakibinga ni hatari mno hapo atakuwa anachomekea dela.
Yanayoendelea sasa kwenye mitandao videos na sauti yanadhihirisha kuwa wazeee wako well informed juu ya nn kinapangwa ndio maana wakajibu mapigo kwa ushauri wa Pius Msekwa.
Mwishoni nimeamini ili uwe mwanaccm lazima uwe mnafiki wa kiwango cha PhD. over