President Paul Kagame responds to Jakaya Kikwete on FDRL comments 'utter nonsense'

Bado huja gusa kitu baba!!
Kama Kagame anasema nikae na WAHUTU!!
JK kipenzi chako ni mara ngapi anaambiwa aunde chombo huru cha kuchunguza matukio ya kishetani yanayitokea nchini...HATAKI!!
JK hana sifa za kuwaweka watu meza moja eti waelewane, kwakuwa nayeye anayalea mambo ya ovyo yanayoashiria tatizo kubwa tu mbele lisipodhibitiwa kama la Rwanda tu..( Kiongozi wako akiendelea kuchekea mambo muhimu)

wel said, rwanda is under military peace ndio ukwel, othewise Kagame's regime is temporary gaining popularity which can vanish any time kama umeme.
 
wel said, rwanda is under military peace ndio ukwel, othewise Kagame's regime is temporary gaining popularity which can vanish any time kama umeme.

Tanzania Tumeongea na Mungu kwamba amani yetu haiwezi ku vanish!....upuuzi huu wa Kina Pinda, Mwigulu, Nape, TISS, Polisi n.k!!!
 
Fitinamwiko, suala la mtwara na FDRL ni vitu viwili tofauti. Huwezi kuvilinganisha kwa aina yeyote ile. Uwepo wa FDRL pale mwituni dr congo ndo chanzo cha instability katika eneo lote la maziwa makuu. Na ukumbuke kuwa hao waasi wamekuwa hapo kwa muda mrefu na rwanda imeshindwa kuwatokomeza. Na natumaini unafahamu madhara yanayotokana na instability katika eneo la maziwa makuu. Mamilioni wamekufa, mamilioni wamekimbia nyumba zao, maelfu wananakwa n.k hivyo, kwa kiongozi makini kama rais kikwete kutoa ushauri alikuwa sahihi kabisa. Kwa tarifa yako, anaungwa mkono na sadc. Anaungwa mkono na jumuiya ya kimataifa na umoja wa mataifa. Wachambuzi wa siasa pia wanamuunga mkono. Nakushauri usome kwanza siasa za kimataifa kabla ya kuja jf kubwabwaja maneno yasiyo na kichwa wala miguu.
 
In fact, hata wasipolipa kisasi, bado FDLR ni threat kubwa kwa Kagame na ndio maana hataki kufanya nao mazungumzo!! Kwamba hawezi kufanya nao mazungumzo kwa kigezo kwamba FDLR wamekuwa named as Terrorist Group ni bla blah zake tu kwani hata hao anaowafuata (U.S) tayari wameshagundua kwamba GUN can never bring peace na sasa wameamua kukaa meza moja na TALBAN, wale wale magaidi wakubwa ambao US ilisema isingeweza kukaa nao meza meja ku-negotiate na terrorists!!

NasDaz,
Sio kweli kuwa FDLR bado wana nguvu kwani hawajaweza kufanya shambulizi lolote kwa Rwanda tokea miaka ya 1996. UN wenyewe wamekadiria kuwa FDLR ina jeshi lisilzidi watu 1500 ambapo chini ya 100 tu ndio wanaosadikiwa kuwa walishiriki kwenye Genocide.

Ukweli ni kuwa, hivi sasa Kagame angependa sana FDLR wasimalizwe lakini pia wasijumuishwe kwenye siasa za Rwanda kwani huo uta kuwa ndio mwisho wa utawala wake uliojaa Watutsi waliotokea Uganda.

Kagame anaiongoza Rwanda kwa kuwafanya watu wamuogope na sio kwa vile wanampenda. Kwenye nchi yenye zaidi ya 85% Wahutu ambao wamenyimwa madaraka kwenye nafasi zote nyeti Serikalini na Jeshini, ni kitu cha ajabu kuwa hao hao Wahutu watamchagua kwa 93%. Kwa hiyo ili Kagame aendelee kubaki madarakani na pia kuweza kukwepa mashitaka ya mauaji mbali mbali aliyofanya, ni muhimu kwake atawale nchi kiubavu na kiudanganyifu. Kukiwa tu na amani ya kweli, uchaguzi wowote wa halali utawaondoa Watutsi madarakani na yeye kuishia ICC anakopapiga vita hivi sasa.
 
NasDaz,
Sio kweli kuwa FDLR bado wana nguvu kwani hawajaweza kufanya shambulizi lolote kwa Rwanda tokea miaka ya 1996. UN wenyewe wamekadiria kuwa FDLR ina jeshi lisilzidi watu 1500 ambapo chini ya 100 tu ndio wanaosadikiwa kuwa walishiriki kwenye Genocide.

Ukweli ni kuwa, hivi sasa Kagame angependa sana FDLR wasimalizwe lakini pia wasijumuishwe kwenye siasa za Rwanda kwani huo uta kuwa ndio mwisho wa utawala wake uliojaa Watutsi waliotokea Uganda.

Kagame anaiongoza Rwanda kwa kuwafanya watu wamuogope na sio kwa vile wanampenda. Kwenye nchi yenye zaidi ya 85% Wahutu ambao wamenyimwa madaraka kwenye nafasi zote nyeti Serikalini na Jeshini, ni kitu cha ajabu kuwa hao hao Wahutu watamchagua kwa 93%. Kwa hiyo ili Kagame aendelee kubaki madarakani na pia kuweza kukwepa mashitaka ya mauaji mbali mbali aliyofanya, ni muhimu kwake atawale nchi kiubavu na kiudanganyifu. Kukiwa tu na amani ya kweli, uchaguzi wowote wa halali utawaondoa Watutsi madarakani na yeye kuishia ICC anakopapiga vita hivi sasa.
Mkuu Kubwajinga,
Mbona umei-miss point yangu kwa makusudi?! Hebu soma paragraph ya pili ya hoja yangu utagundua kwamba nilichokisema ndicho ambacho wewe umekisema kwenye paragraph yako ya pili!! Sijasema kwamba FDLR wana Military power bali nimsema kwamba Kagame anawaogopa FDLR kutokana na uwingi wa Wahutu (over 80%) ndani ya Rwanda! So, kuwakaribisha FDLR kwenye meza ya mazungumzo ni kama au ni sawa na kuwakaribisha FDLR kwenye siasa za Rwanda! Na nikisema kwamba, ingawaje Rwanda ukabila umepungua, lakini uliopungua ni ule ukabila wa wazi wazi lakini ukabila wa kisirisir ambao unaweza kutumika kwenye sanduku la kura, bado upo! Hiki ndicho kinachomtisha Kagame kwani anafahamu wazi kwamba ingawaje amejitahidi kupunguza ukabila lakini litakapokuja suala la uchaguzi huru; katu Wahutu hawawezi kumchagua Mtutsi! Pitia upya maelezo yangu ya awali!
 
Last edited by a moderator:
nilikuwa nasoma jarida moja linalosema kuna kikundi cha wanasiasa, wanajesh, wafanyabiashara na watu wa mapato kutoka nch mbalimbatki lakini za muhimu congo, rwanda na uganda, alaf kundi la pili ni tanzania na kenya na kundi la tatu ni Mji wa Dubai na mwisho ni Ulaya na america. wanashirikiana pamoja kula pale congo bila aibu.
Kwanza wafanyabiashara ambao wanasiasa wameshika madaraka serikalin wanashirikiana na wafanyabiashara wengine kuchimba madin uko congo huku wakilindwa na majesh mamluki ya rwanda, congo na uganda, na madini yakichimbwa yanasafirishwa kwa magari ya jesh mpaka mijin kwa wafanyabiashara hao ambao pia ni wanasiasa, then inapitishwa kinyemela na idara ya mapato ambako pia wana watu wao, then madin hayo yanafika DUBAI ambako madin hayo yanatengenezwa kama bidhaa ya kati kuficha originality na ndio apo yanapelekwa ulaya.
Pesa inakuja Dubai then tanzania na kenya mwisho uganda, rwanda na congo. Congo mineral dark market.
ni hatar na sio salama, kuna watu watakuja katwa vichwa mchana kweupe!
 
wel said, rwanda is under military peace ndio ukwel, othewise Kagame's regime is temporary gaining popularity which can vanish any time kama umeme.

ndgu yangu kama umetia mguu ata kwa saa 1 kigali utatambua umbali tuliopo tanzania kufananisha na Rwanda.
 
Mkuu Kubwajinga,
Mbona umei-miss point yangu kwa makusudi?! Hebu soma paragraph ya pili ya hoja yangu utagundua kwamba nilichokisema ndicho ambacho wewe umekisema kwenye paragraph yako ya pili!! Sijasema kwamba FDLR wana Military power bali nimsema kwamba Kagame anawaogopa FDLR kutokana na uwingi wa Wahutu (over 80%) ndani ya Rwanda! So, kuwakaribisha FDLR kwenye meza ya mazungumzo ni kama au ni sawa na kuwakaribisha FDLR kwenye siasa za Rwanda! Na nikisema kwamba, ingawaje Rwanda ukabila umepungua, lakini uliopungua ni ule ukabila wa wazi wazi lakini ukabila wa kisirisir ambao unaweza kutumika kwenye sanduku la kura, bado upo! Hiki ndicho kinachomtisha Kagame kwani anafahamu wazi kwamba ingawaje amejitahidi kupunguza ukabila lakini litakapokuja suala la uchaguzi huru; katu Wahutu hawawezi kumchagua Mtutsi! Pitia upya maelezo yangu ya awali!

NasDaz,
Nakubaliana na maelezo yako. Ni vema watu tukaeleweshana hali halisi ya siasa za Kagame na udikitekta wake.
 
ndgu yangu kama umetia mguu ata kwa saa 1 kigali utatambua umbali tuliopo tanzania kufananisha na Rwanda.
Hapa ndipo Kagame alipofanikiwa ku-deceive international eyes! Amejitahidi kwa kila hali kupanfanya Kigali kuwa best place! Kila anayetaka kum-support Kagame, atakuambia nenda Kigali japo kwa saa moja uone huku wakisahau kwamba Rwanda is not Kigali alone! Hii ni sawa na kusema ukitaka kuamini Tanzania wapo mbali, nenda Mikocheni, Oysterbay, Masaki et al jijini Dar es salaam ukaone!!! Kwa takwimu za 2011, nearly 45% ya Wanyarwanda wanaishi below poverty line! Sio hivyo tu, 90% ya Wanyarwanda wanategemea kilimo na bandari yao kuu ni Dar es salaam! Kinachoonekana bandari ya dar ni imports to Rwanda na sio exports, sasa hao 90% wanaolima sijui mazao yao wanauzia wapi cjui!!!

Anyway, hakuna anayekataa kwamba Kagame has done great job in Rwanda lakini mengine propaganda tu!! Uchumi wake unakuwa vizuri, hili halina ubishi lakini bado wananchi wake wengi ni maskini wa kutupwa! Hao wakazi wa Kigali yenyewe n about 10% of total Rwandan population; so kama kila cku kigezo ni Kigali, wht about huko kwingine?!
 
Mimi nimependa Kagame alivyojibu: “I kept quiet for the contempt I have for it (FDLR talks) because I thought it was utter nonsense spoken out of ignorance . We must be left to live our lives the way Rwandans want to live them,” observed a visibly incensed Kagame. Kagame described Kikwete’s counsel as, “dancing on the mass graves of our people.”

I totally concur with Kagame's words on President Kikwete. What Kikwete said it is really,''utter nonsense spoken out of ignorance''. Kikwete is pretending to be a good samaritan to the FDLR and therefore advising Kagame to come on the table for reconciliation. What kind of reconciliation?

I believe Kagame knows what is currenty happening in Tanzania. He surely knows the weakness of President Kikwete who have failed to resolve a lot of crisis in his own country. We're the witness that Kikwete has failed to even seat together with the strong Opposition party CHADEMA to resolve some issues which are unnecessary being created by his party CCM! Kikwete as well failed to address the Mtwara saga which claimed some innocent lives!

Kikwete is still dumbfouned on the HANDGRANADE explosions recenly in the church at Olasiti and the one at Soweto during CHADEMA campaign meeting on 15/06/2013! Kikwete has proved to be the weakest President of our time in Tanzania who can't resolve any kind of a crisis in this country.Kikwete has failed to manage his own government start from his own Party CCM, the Parliament,the Police force,the Army,the Judiciary system,Eduation,Health services,etc!

If someone can visit the two countries today i.e.Rwanda and Tanzania can note the big difference between the 2 countries both politically and economically! Rwanda economy is so strong as compared to Tanzania. I remember one MP in parliament raised a question on this. But to the suprise of many,when the Minister was responding to this he said that Rwanda economy is stable because the country is too small when compared to Tanzania which is very big!!!
The same utter nonsense and silly questions and answers in Tanzania's parliament!!!

To me Kagame is correct. Bravo to Kagame and shame on Kikwete!
 
ndgu yangu kama umetia mguu ata kwa saa 1 kigali utatambua umbali tuliopo tanzania kufananisha na rwanda.

kigali nimefika, nilishangaa sana kuona kijiji kilichojichokea huku wenyeji wakijisifu eti ndiyo mji wa wa pili kwa ukubwa! Kama zilivyo nchi nyingi za kiafrika, maendeleo kidogo yapo kigali mjini na ndiko fashisti kagame anajaribu kudeki deki barabara kwa ajili ya kjionyesha. Maeneo mengine yaliyosalia yanatia huruma pamoja na mali asili za kongo zinazoibwa na rwanda. Rwanda huwezi kuifananisha na tanzania hata kidogo!
 
i totally concur with kagame's words on president kikwete. What kikwete said it is really,''utter nonsense spoken out of ignorance''. Kikwete is pretending to be a good samaritan to the fdlr and therefore advising kagame to come on the table for reconciliation. What kind of reconciliation?

I believe kagame knows what is currenty happening in tanzania. He surely knows the weakness of president kikwete who have failed to resolve a lot of crisis in his own country. We're the witness that kikwete has failed to even seat together with the strong opposition party chadema to resolve some issues which are unnecessary being created by his party ccm! Kikwete as well failed to address the mtwara saga which claimed some innocent lives!

Kikwete is still dumbfouned on the handgranade explosions recenly in the church at olasiti and the one at soweto during chadema campaign meeting on 15/06/2013! Kikwete has proved to be the weakest president of our time in tanzania who can't resolve any kind of a crisis in this country.kikwete has failed to manage his own government start from his own party ccm, the parliament,the police force,the army,the judiciary system,eduation,health services,etc!

If someone can visit the two countries today i.e.rwanda and tanzania can note the big difference between the 2 countries both politically and economically! Rwanda economy is so strong as compared to tanzania. I remember one mp in parliament raised a question on this. But to the suprise of many,when the minister was responding to this he said that rwanda economy is stable because the country is too small when compared to tanzania which is very big!!!
The same utter nonsense and silly questions and answers in tanzania's parliament!!!

To me kagame is correct. Bravo to kagame and shame on kikwete!

ulivyomnafiki muda si mrefu utakuwa barabarani ukiyashangilia majeshi ya ukombozi ya tanzania pindi yatakapoitwaa kigali!
 
ukitaka kutoa ushauri kwa mtu mwenye mamlaka yake ni bora ukatafuta nafasi uongee naye mkiwa wawili kwenda kusema kwenye majukwaa ni kufanya uchochezi tu. Kwanini asingemtafuta wakapeana ushauri kwanza.

Hujui unachoongea ushauri aliyoutoa jk ni wa kawaida sana anachokasirika ni majeshi ya tz kwenda congo kwasababu hatoweza kufanya wizi wake na kuwacontrol wahutu. Ila siku zake zimekwisha
 
Dawa yao ni kuwatandika kimya kimya. Kagame amekosea sana kutamka maneno ya kinyaa kwa Jk.Kagame atakua chanzo cha kuvunjika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki, kama ilivyokuwa kwa Idd Amin Dadaa wa Uganda.
 
Back
Top Bottom