peter Alexander
Member
- May 29, 2012
- 14
- 6
Huu ni wakati wa watanzania kuungana na kuwa wamoja kwa sababu majirani zetu wanatumia tofauti zetu kutuvuruga.Vita mbaya sana.wenzetu walipotofautiana walikimbilia Tanzania na kwa sababu ya ukalimu wetu tuliwakaribisha. Lakini ninyi sijui mtakimbilia wapi kwa sababu majirani zenu hawawapendi sana. Mtapata shida sana. Dumisheni umoja uliopo.Jenga nchi.