President Kikwete stop this madness please or resign!

Haijawahi kutokea raisi wa nchi kuchukiwa hivi na wananchi wake. Kikwete kavunja rekodi ya raisi bomu. Achia ngazi wanaume wachukue nchi. Kazi yake ni kuandalia watu party ikulu kwa pesa za walipa kodi wakati hali ya nchi kisiasa na kuchumi kwa sasa ni mbaya. Wazo la kufanya mapati ni wazi kuwa kazi imemshinda na ametupa mgongo watz iwekwenye msiba kama Arusha au maandamano au mchakato wa katiba. Yeye zake ni kupanda miti au kuzindua viwanda feki.
 
The biography cover design with a cross between J and K is dead wrong........but I understand!
If I were JK I would make a huge decision that will surprise everyone and catch peole off-guard. That will prove that he is a very calculating leader and as a result leave the opposition clutching on straws. The momentum is with the opposition now, but I do not think they are using it well.
Either way, he is a great leader to have in Tanzania right at this moment!
 
Yanayoendelea leo hayahitaji mganga wa kienyeji kujua kwamba inawezekana serikali hii sio timu moja. Kila mtu anakufa kivyake. Namuonea huruma sana maana JK kama Lueteni kanali mstaafu wa jeshi, anajua madhara ya kuongoza timu isiyo na nidhamu kwenye mission inayotaka integrity ya hali ya juu.

HII NI MBAYA SANA,KUWA NA WAGANGA WA KINYEJI NA WASOMA NYOTA KAMA WASHAURI.....AIBU (Amtumainiaye Mwanadamu amelaaniwa......asema Bwana wa Majeshiiii....sasa usishangae kwa yote yanayoendelea....wapo chini ya laana.)
 
Huyu Kikiwete alikuwa overrated sana. Toka mwanzo.

Hana sifa wala hajwahi kuwa na sifa za kuongoza. Alikuwa na bahati sana kuwa WaTz wengi hawakuwa wanamfahamu na kwa vile mtandao na propganda machine zake zilimpamba sana 2005 basi akaukwaa ukulu.

Fast foward 5 years, WaTz wamejua mbivu na mbichi wakamkataa.....akachakachua akajiweka bila ridhaa ya WaTz.

Hana ridhaa ya Wenye Nchi ya Tz hivyo hawezi kujitokeza mbele yao kwa shari au heri. Ujasiri atatoa wapi?

Kwa mfano: mathalan katika mji fulani mzee wa familia amefariki na kuacha wosia wa namna gani ya kupata viongozi wa familia husika. Wanafamilia (wa jinsia na rika mbalimbali) wanakaa na kurejea wosia wa mzee. Wanafamilia kadhaa wanajitokeza kuomba ridhaa ya kuongoza. Lakini wakati Wanafamilia wakipanga kufanya uchaguzi ghafla wanaletewa mtu mwingine kuwatawala sio kuwaongoza. Familia bado hawajaamua nini cha kufanya.....

Bahati mbaya migogoro na mambo ya kijamii yanaikumba familia, na ndipo nafasi ya kiongozi inakuja kwa umbele.....Swali yule impostor atakuja kuwasaidia? Atathubutu kujitokeza kuwaongoza? Je ana uchungu na maslahi ya hiyo famila au wale ni kwa waliomweka hapo?
 
The government and the CCM are in disarray - that is quite obvious; the police are out killing innocent civilians instead of arresting the mafisadi; the country is utterly confused by this lack of leadership at the top. With food prices going up all over the world I would not be surprised if there are food riots in Dar es Salaam during May/June/July 2011 due to soaring food prices [this is the period before the next harvest and in any case the harvest this year will be low due to the poor rains as it has occured in the past in all years ending with 1 or 2 - 1971; 1981;1991;2001 etc].

This lack of leadership at the top may cost Tanzania dearly - what has just occured in Tunisia may possibly occur in Tanzania if we do not take care! The myth that Tanzanians are peace loving and cowardly people has been broken by the events in Arusha / Mbarali etc. The gap between the rich and the poor in Tanzania is just too much! For sure, we have had food shortages before in 1974, 1981 etc but by then the leaders were with the people - eating the same food, living in the same areas etc . Now the leaders are in air conditioned homes and offices, being driven around in state of the art vehicles, eating and drinking imported expensive foods and drinks while the poor are scavenging for food in the slums of our urban areas. This is likely to be a recipe for an impending disaster! Watch this space!
 
Back
Top Bottom