Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Kikwete Pentium I.
Afadhali umeliona hilo...nina shaka hata kama ana deserve uwezo wa Pentium 1...
Kikwete Pentium I.
I'm sorry (actually i'm not) to say this; what is going on right now is pure madness of sort. Hivi hakuna mtu mwenye hekima ndani ya serikali na chama tawala? Yaani, kila mtu anajitokea na kusema lake, na wenyewe wanapingana na kwa kufanya hivyo wanaonesha how weak President Kikwete actually is. It seems to me that he has lost comman of respect or even loyalty within the party and the government.
It as if he has become a ceremonial president - the one who likes ceremonies! Yaani, sijui nani atamuambia ukweli lakini whatever is going on is not good for the country and for his own legacy. There are a number of things that he personally need to take care of:
a. The Arusha Killings of Chadema supporters; he need to show that he actually care and is willing to do everything not to that such an incident doesn't occur again. The first step, meet Chadema leaders for a candid discussion of the political situation in the country. Hali iliyopo sasa haiondoki kwa mikwara na kudharau!
b. He need to stop the payment to Dowans. He is one of the very few people who knows for a fact why Dowans was formed and how he would benefit (kwa binafsi au familia) when the payments are made. He need to show that he in fact care about this. So far yupo yupo tu.
c. Stop the madness ya majibizano ya kisasa kati ya viongozi wa chama chake, viongozi wa dini, na watendaji wa serikali. Something is definitely very wrong.
Kikwete toka uchaguzi amewashawishi wananchi kuwa he is the president na akatangaza waziwazi Bungeni kuwa "waenda lakini watarudi" kwani yeye ndiyo Rais. Well, Kuwa Rais siyo jina au tunu ya sifa bali ni kazi ya kikatiba. Sasa basi awe Rais na aoneshe kwanini alizinguka mikoa yote hiyo kuomba nafasi ya pili ya kutawala taifa (sijui kama alitaka kuongoza au kutawala).
Kama ni vigumu for him to give the country courageous leadership at this time basi alitendee taifa hisani ili angalau tuanze na Bilal tuone naye atafanyaje. Act or resign. Kwa sababu mengine hata hayaingii kichwani.
I'm sorry (actually i'm not) to say this; what is going on right now is pure madness of sort. Hivi hakuna mtu mwenye hekima ndani ya serikali na chama tawala? Yaani, kila mtu anajitokea na kusema lake, na wenyewe wanapingana na kwa kufanya hivyo wanaonesha how weak President Kikwete actually is. It seems to me that he has lost comman of respect or even loyalty within the party and the government.
It as if he has become a ceremonial president - the one who likes ceremonies! Yaani, sijui nani atamuambia ukweli lakini whatever is going on is not good for the country and for his own legacy. There are a number of things that he personally need to take care of:
a. The Arusha Killings of Chadema supporters; he need to show that he actually care and is willing to do everything not to that such an incident doesn't occur again. The first step, meet Chadema leaders for a candid discussion of the political situation in the country. Hali iliyopo sasa haiondoki kwa mikwara na kudharau!
b. He need to stop the payment to Dowans. He is one of the very few people who knows for a fact why Dowans was formed and how he would benefit (kwa binafsi au familia) when the payments are made. He need to show that he in fact care about this. So far yupo yupo tu.
c. Stop the madness ya majibizano ya kisasa kati ya viongozi wa chama chake, viongozi wa dini, na watendaji wa serikali. Something is definitely very wrong.
Kikwete toka uchaguzi amewashawishi wananchi kuwa he is the president na akatangaza waziwazi Bungeni kuwa "waenda lakini watarudi" kwani yeye ndiyo Rais. Well, Kuwa Rais siyo jina au tunu ya sifa bali ni kazi ya kikatiba. Sasa basi awe Rais na aoneshe kwanini alizinguka mikoa yote hiyo kuomba nafasi ya pili ya kutawala taifa (sijui kama alitaka kuongoza au kutawala).
Kama ni vigumu for him to give the country courageous leadership at this time basi alitendee taifa hisani ili angalau tuanze na Bilal tuone naye atafanyaje. Act or resign. Kwa sababu mengine hata hayaingii kichwani.
All pointers suggest someone else other than Kikwete has taken control of this country. This is probably due to President Kikwete himself allowing his Presidency to be shrouded by several unprofessional and corrupt advisers like his family, Sheikh Yahya Hussein, Makamba and the likes.It is like Kikwete is in a trance and his ability to function voluntarily appears lost or could it be we are missing something here ? My God, the word voluntarily suddenly starts me thinking, is Kikwete really in control ? Are there some external forces pulling the strings ? Every evidence points to the fact that there is very little chance of him completing his second term in office, so what prompted him to seek a second term in the first place ? If I remember well he collapsed at the podium on the very first day of the campaign and this I think should have been a signal for him to step back, but no way he kept going or was he ? Something was propelling him to the extent of involving his whole family and vowing to win the presidency by hook or crook. It was as if winning meant everything for him, his family (and whoever) and that losing couldnt have been tolerated, question is by whom ? Kikwete, stop putting our beloved country at ransom, resign and save our country from humiliation at the hands criminals and gold diggers.
.kwa ufupi hawezi kukutana nao
MpendaTz, Mawaziri hawawajibiki kwa Waziri Mkuu, they work at the pleasure of the President. Waziri Mkuu ni kiongozi wao tu lakini mengi anayoweza kuyafanya dhidi ya mawaziri wenzake ni lazime yapitie Ikulu kwanza. That is the sad part.
I never thought I would say this, but I actually think Kikwete has been great for Tanzania. Whether by accident or calculated, we should all be thankful. Think about it!!
Kweli nakuunga mkono 100% kwa sababu zifuatazoI never thought I would say this, but I actually think Kikwete has been great for Tanzania. Whether by accident or calculated, we should all be thankful. Think about it!!