eucalyptos
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 391
- 139
Usiwake tu........hiyo ni sababu ya kauli FREE SEATING..........Sasa hapo kila mtu anawahi siti ya dirishani
WAKATI FULANI MARA KADHAA NDUGU ZANGU WALIRUDISHWA / WALIAHIRISHIWA SAFARI mlangoni KWAKUWA NDEGE HII IMEJAA. Swali je ndege inajaa wakati wa kupanda au wakati wa booking?
Ni kweli kuwa TCIA and other concerned authorities hawafanyi kazi yao sawia.