Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 11,129
- 22,639
Mimi pia nimekumiss.nimekumiss hadi naumwa chibeby wangu.
Ulikua wapi siku zote hizo?
Mimi pia nimekumiss.nimekumiss hadi naumwa chibeby wangu.
Shirika limeanza kufilisika na Lina madeni kibao.Nimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55
Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda ghafla katikati ya safari. Nini uzoefu wako kuhusu ndege hii.
Sent from my PEUM00 using JamiiForums mobile app
Nlichukua short break kidogo. ila kila siku nlikuwa siishi kukuwaza, maana umenikaa sana kichwani.Mimi pia nimekumiss.
Ulikua wapi siku zote hizo?
Shauri ako me nishapata wachumba wengine wengi😁😁😁😁😁Nlichukua short break kidogo. ila kila siku nlikuwa siishi kukuwaza, maana umenikaa sana kichwani.
don't you miss me? I want to spoil you with all d fancy tingz.Shauri ako me nishapata wachumba wengine wengi😁😁😁😁😁
Siku zote nakutag hujawai hata kureply unaona unakausha🤨🤨don't you miss me? I want to spoil you with all d fancy tingz.
JAMANI SIO MAKUSUDI KIPENZI. UNAJUA KUWA MBALI NA WEWE SIWEZI KABISA, SIUMEONA NIMERUDISHA KOLONI. NIKUELEZE JINSI GANI NAKUPENDA ILI UNIELEWE.Siku zote nakutag hujawai hata kureply unaona unakausha🤨🤨
😂😂😂😂Weeeeeh thubutu acha kuzingua bnJAMANI SIO MAKUSUDI KIPENZI. UNAJUA KUWA MBALI NA WEWE SIWEZI KABISA, SIUMEONA NIMERUDISHA KOLONI. NIKUELEZE JINSI GANI NAKUPENDA ILI UNIELEWE.
MIZAWADI IPO YA KUTOSHA NA SUPRISES ZA KWENDA HABIBTY WANGU.Ooooh umerudi na mizawadi yakutosha lkn au unasema tu hapo
Wacha weeeeeeh, naisubili hiyo mizawadi ifike kwa wakati tafadhali najua mambo yako si madogo madogo😁😁☺️☺️MIZAWADI IPO YA KUTOSHA NA SUPRISES ZA KWENDA HABIBTY WANGU.
SIUNAJUA KWAKO SIHEMI WALA SIPUMUIWacha weeeeeeh, naisubili hiyo mizawadi ifike kwa wakati tafadhali najua mambo yako si madogo madogo😁😁☺️☺️
Naelewa naelewa kabisaSIUNAJUA KWAKO SIHEMI WALA SIPUMUI
Usiombe ukatize hapo India to far East kipindi cha monsoon utachafua nguo!
Logical somehowHiyo ni turbulence mzee; ni very normal hususan kwa videge panzi kama ATR, Bombardier, au vile vingine vya abiria 10 sijui charted nini sijui.
Ingekuwa jet wala usingehisi chochote; anga la Tanzania ni kati ya anga tulivu mno! Usiombe ukatize hapo India to far East kipindi cha monsoon utachafua nguo!
Definetely hali ya hewa haikuwa vizuriHuenda kulikuwa na tatizo la hali mbaya ya hewa angani, maana vindege vidogo huwa vina athiriwa Kwa urahisi na hali mbaya ya hewa.
Jambo la kushukuru ni kuwa mlifika Salama
Ni hurka ya waswahili kuwa na majibu mepesi na mizahadaah bongo unaweza kupotea hivihivi yani jamaa kauliza swali gumu cha ajabu anapewa majibu mepesimepesi yani km hakuna kilichohappen vile
250,000-350, 000 kwenda tuDar-Dom nauli ni Tsh ngapi?