Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 851
- 1,887
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
---
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Taarifa ya tukio hilo imeelezwa na moja ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo, ambaye ni Naibu Meya wa Kinondoni, Joseph Rwegasira Samson, ambapo ameeleza kuwa wanashukuru Mungu, wamefanikiwa kutua salama kwenye uwanja ndege wa Dar es Salaam, ikiwa inatumia injini moja.
PIA SOMA
- Ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma yalazimika kutua kwa dharura
Credit: ITV
---
Ndege ya Precision Air PW 600, iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Jijini Dodoma imeshindwa kutua kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma na kulazimika kurudi mkoani Dar es Salaam baada ya moja ya injini zake kuzima wakati ikikaribia kutua.
Taarifa ya tukio hilo imeelezwa na moja ya abiria waliokuwa kwenye ndege hiyo, ambaye ni Naibu Meya wa Kinondoni, Joseph Rwegasira Samson, ambapo ameeleza kuwa wanashukuru Mungu, wamefanikiwa kutua salama kwenye uwanja ndege wa Dar es Salaam, ikiwa inatumia injini moja.
PIA SOMA
- Ndege ya Shirika la Precision Air iliyokuwa ikitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma yalazimika kutua kwa dharura
Credit: ITV