Pre form 5 wajiandae

Status
Not open for further replies.

Joe kim

Member
Dec 3, 2012
6
1
Kwa wale wanafunzi wanaotarajia kwenda kidato cha tano mwezi huu.wajiandae kwani muda wowote kuanzia sasa post zao zitakuwa hewani na watatakiwa kuripoti shuleni mapema kwa mujib wa wachunguzi wa mambo wamebaini kuwa wakuu wa shule mbalmbal waliokuwa wamekusanyika ktk jengo la arusha technical jjn arusha kwa ajil ya kuchagua wanafunz wametawanyika kuashiria kuwa zoezi la upangaji wa shule limekamilika hivyo muda wwt kuanzia sasa tutarajie posts
 
Watu wanhangaika kinoma.....simtulie msubori serikali tukufu ya CCM itakacho kifanya kwenye hii Tasnia Ya elimu???
 
Kwa wale wanafunzi wanaotarajia kwenda kidato cha tano mwezi huu.wajiandae kwani muda wowote kuanzia sasa post zao zitakuwa hewani na watatakiwa kuripoti shuleni mapema kwa mujib wa wachunguzi wa mambo wamebaini kuwa wakuu wa shule mbalmbal waliokuwa wamekusanyika ktk jengo la arusha technical jjn arusha kwa ajil ya kuchagua wanafunz wametawanyika kuashiria kuwa zoezi la upangaji wa shule limekamilika hivyo muda wwt kuanzia sasa tutarajie posts

itabidi mwaka 2015 tucheleweshwe kufanya Mtihani kam hivi.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom