Kwa wale wanafunzi wanaotarajia kwenda kidato cha tano mwezi huu.wajiandae kwani muda wowote kuanzia sasa post zao zitakuwa hewani na watatakiwa kuripoti shuleni mapema kwa mujib wa wachunguzi wa mambo wamebaini kuwa wakuu wa shule mbalmbal waliokuwa wamekusanyika ktk jengo la arusha technical jjn arusha kwa ajil ya kuchagua wanafunz wametawanyika kuashiria kuwa zoezi la upangaji wa shule limekamilika hivyo muda wwt kuanzia sasa tutarajie posts