Power of Attorney: Rostam Aziz the bigger winner in Dowans settlement

<font size="3"><font color="navy">Pasco, hebu tuhabarishe zaidi maana za ndani ya CCM mara nyingi unakuwa nazo zikiwa bado mbichi.</font></font>
Kubwajinga, sio kweli kwamba nazipata za ndani maana mimi sio mmoja wao. RA ni kuwadi tuu role yake ni ku act ile sehemu ya pati gazeti strerling wa movie yenyewe halisi ni Boys II Men!.
 
Hii power of attorney (PoA) inayoongelewa hapa ni kiini macho tu. Hizi ni mbinu tu za RA na wenzake kujificha wanapotaka kukamua nchi.
  1. Hivi ni mmiliki gani wa kampuni (director) anayeweza akakupa nguvu kiasi hicho (kufanya lolote) kwenye miradi yake ya mamilioni ya dolar bila ya yeye kuwapo??
  2. Kwa nini Tan Gov/ Tanesco hawakuomba wakiwa huko ICC, kuwahoji hao wamiliki kivuli wa Dowans ili kuthibitisha uwepo wao kama wangesisitiza kuwa na wasiwasi na uhalali wao?
  3. Kwa nini RA habanwi na TAKUKURU kuhakiki au kukanusha kama yeye ndiye mwakilishi au mmiliki wa Dowans au akaelezea mahusiano yao kibiashara na maslahi yake kwenye hayo mahusiano kama ilivyodokezwa kwenye ripoti ya Mwakyembe??
  4. Hivi inawezekana kweli JK na serikali yake wakawa hawafahamu haya mahusiano ya Dowans na RA au wanatuzuga tu??

Hii DOWANS ni deal ya JK na CCM yake. Sasa vyombo vya serikali ya CCM kama TANESCO na TAKUKURU vitafanyaje kinyume na bosi wa CCM, kwanza yeye (JK) ndio anachagua viongozi wake. Halafu JK wala hawezi mbana RA kwa kua wamemtumia kufanikisha hii kitu.
 
Kelele mingi sana hakuna ACTION live,Let us join CUF the first runup,then join other runup...
 
Hivi mbona sikusikia jina la Rostam kwenye ile kamati ya akina Mwakyembe.?
From this story Rostam Was on the same Boat with Lowasa what the Hell happent here?
 
Nasahngazwa na kigugumizi cha CCM,serikali,wabunge mpaka magazeti kutaja Rostam kuwa ndie mhusika.....Huyu Rostam ambaye mara nyingi katika post zangu namlinganisha na Pablo Escobar kwa kuwa na nguvu ya kuweza kuiiendesha serikali yetu.

Viongozi wote wanajua lakini swali ni kwa nini wana mlinda hivi? au ni ....

heshima wakuu
Mimi nina maswali mengi ambayo nayashindwa hata kujijibu mwenyewe hivi huyu RA ametokea wapi? na ilikuwaje Watu wa Igunga wakampa Nafasi ya Kuwawakiisha Bungeni, Kuna wakati fulani Mch. Mtikila alitaka kuongea kitu fulani, sijui imeishia wapi? hivi Hatuwezi kumfukuza Nchini? (Sheria Zinasemaje kwa mtu kama huyu anaeliangamiza Taifa) je ni kweli alikuwepo tangu enzi za utawala wa rais mstaafu BWM? au kuna Nchi inamtumia huyu RA kuitawala TZ yetu? wito UWT mko wapi? historia itawahukumu
 
Powerful businessman and ruling party MP for Igunga in Tabora, Rostam Aziz, is to be a beneficiary in the Dowans Tanzania award.
According to the proceedings from the International Court of Arbitration of the International Chamber of Commerce also known as the International Commercial Court (ICC), which recently awarded Dowans Holdings S.A. and Dowans Tanzania $65 million as compensation for breach of contract by the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco), Mr Aziz was appointed Dowans’ attorney-in-fact as far back as 2005 “to manage the company’s affairs outside the Republic of Costa Rica
According to the resolutions of the Dowans Holdings board of directors, two directors of the company, Bernal Zamora Arce and Noemy del Carmen Cespedes Palma, granted in the name and on behalf of the company, a power of attorney in favour of Mr Aziz.

Hivi kipindi kile baada ya kamati ya Mwakyembe kusoma ripoti yake , Rostam alipoandika utetezi wake bungeni, hakulidanganya bunge kuhusu jinsi gani aliijua DOWANS???

Nchi za Tunisia na Misri zinapita katika kipindi cha mapinduzi ya raia kwa sababu ya mambo kama haya, wananchi wakishakuwa na taarifa juu ya ufujaji wa mali za nchi kwa baadhi ya watu ambao ni washirika wa watawala basi hasira zao si rahisi kuzimwa!

Never say I didn't warn you!
 
Inashangaza (japo ukimsoma Fareed haishangazi sana) kwanini waandishi wa habari wanashindwa kumuuliza RA kuhusu hiyo Power of Attorney!
hataki kujibu... the best answer he hass given to that he has given until now ni huio uwongo wake kuwa ahusiki na Dowans
 
Nadhani sasa iwekwe wazi kabisa waliohusika wawajibishwe aidha kwa sheri au nguvu za wananchi. Hatuwezi kuendelea na watu hawa kwani ni janga kabisa kwa taifa. Mungu tupe Busara za kuwaondoa watu hawa
 
Downs ni mradi wa JK, Lowasa na RA( king plyaer); Jk na Lowasa wanatumia mikono ya watoto wao. Ni vigumu serikali ( Takukuru , n.k) au CCM kusema ukweli wa hii scandal. Hawataweza kusema Boss wao, heri kutumia nguvu kwa kumaliza aibu hii unless Wananchi kuwaondoka madarakani tu; ninavyofahamu mimi hawako tayari kujisalimisha kwa wananchi na kusema ukweli - ni aibu kwa milele na JK hataki CCM kufia mikononi mwake kwa nguvu na hila zote zitatumika tu.
 
Help....! I want to know how do the serial-killers operate!

Before even knowing how do the serial-killers operate, we first need to know the classifications of serial killers. Two ways of classifying serial killers: one based on motive and one based on organizational and social patterns. The motive method is called Holmes typology. Acc*ording to Holmes typology, serial killers can be act-focused (who kill quickly), or process-focused (who kill slowly).
 
Waziri Ngeleja, mbona jina la RA halikuwepo katika orodha yako ? Mr Ngeleja, with this kind of story surfacing in the public do you have any guts to rebutal it. Where is your credibility as a Senior Public Servant !
Secondly, CCM Central Commitee how possible you could deliberate Dowans in the presence of Mr Azizi.!!!
Last, CCM if your manifesto of election is to fight grand corruption, then which one apart of this.
Katika moja ya mikutano ya kampeni ya JK alisema wazi kuwa hakuna anayeweza kuinyoshea kidole serikali yake juu ya nia yake ya ku fight rushwa maana tayari kuna kesi mahakamani. Ukipitia kwa makini statement hiyo ni kuwa issue ilkuwa kuonyesha donor community nia ya kupambana na rushwa ili ku win support yao na si kupambana kwa dhati na RUSHWA , maana mapambano yakiwa ya dhati yatayumbisha nchi ( kwa kuhusisha watu mashuhuri)
 
heshima wakuu
Mimi nina maswali mengi ambayo nayashindwa hata kujijibu mwenyewe hivi huyu RA ametokea wapi? na ilikuwaje Watu wa Igunga wakampa Nafasi ya Kuwawakiisha Bungeni, Kuna wakati fulani Mch. Mtikila alitaka kuongea kitu fulani, sijui imeishia wapi? hivi Hatuwezi kumfukuza Nchini? (Sheria Zinasemaje kwa mtu kama huyu anaeliangamiza Taifa) je ni kweli alikuwepo tangu enzi za utawala wa rais mstaafu BWM? au kuna Nchi inamtumia huyu RA kuitawala TZ yetu? wito UWT mko wapi? historia itawahukumu
1. hivi huyu RA ametokea wapi? ==> IRAN
2. na ilikuwaje Watu wa Igunga wakampa Nafasi ya Kuwawakiisha Bungeni ==> Alivaa ngozi ya kondoo na kujifanya mwenzao, akaomba kuwawakilisha kwa kuwaahidi maendeleo kede kede .
3. Kuna wakati fulani Mch. Mtikila alitaka kuongea kitu fulani, sijui imeishia wapi? ===> Ukimgusa unaweza ukapatwa kitu kibaya , hivyo mch. ilibidi anywee ( ref. yule jamaa wa Tanesco aliyesaini kwa kutishiwa ..)

4. hivi Hatuwezi kumfukuza Nchini? ===> Hatuwezi maana yeye yuko CCM , NEC, CC , na Bungeni , na ame influence sheria nyingi zielekee anakotaka, hivyo tukifamya hivyo ICC itatubamiza tena mara mia ya DOWANS
5. Je ni kweli alikuwepo tangu enzi za utawala wa rais mstaafu BWM ==> Alikuwepo kama mweka hazina wa CCM
6. au kuna Nchi inamtumia huyu RA kuitawala TZ yetu? ==> TISS wanajua labda taarifa bado hazijajitoshelea kwa wao kuweza kusema .
7.historia itawahukumu ==> Obvious
 
Why don't I see any problem with Rostam Aziz at all? He is a shrewd businessman at it, may be. I have issues with people elected to public offices and accepted corrupt deals on behalf of Tanzanians. People talk about deporting Aziz. So what? We leave the country still in the hands of people who betrayed us in the first place? As Lowassa went, JK should now go. I, for one, as Egptyians, will not bargain for less. Mr President sir, it is time to go.
 
Heee mimi bado siamini kuwa mambo ya wazi namna hii serikali yoyote inaweza kuachia wazi wazi namna hii. Basi na lolote liwe kama kweli ndivyo walivyopanga. Ni kweli hawaogopi, wao MUngu. Ukweli utajulikana si muda mrefu sasa si mambo yanasajiriwa?
 
Kama sikosei ilitakiwa Rostam ataje kwenye form za viongozi mapato na utajiri wake wote sasa kama form za mwaka 2010 ajajaza kama ana interest kwenye Dowans basi tumshtaki.kwa kuiongopea jamuhuri ya muungano ya Tanzania.Pia tupitie yale makanushi yake yote wakati alipoitwa fisadi papa
 
Na baodo maombi ya watanzania yatatoa sizri zote akiwemo JK na chama chake kwa ujumla. Mungu ametuonea huruma hivyo anatoweka wazi.
 
Back
Top Bottom