RealMan
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,367
- 1,388
Kuna jamaa yangu aliwahi kufanya kazi Quality Group (mali ya tajiri kijana) anasimulia jinsi umafia unavyofanyika.
Anasema RA na group yake ya mafia anakawaida ya kutunza kumbukumbu ya deal chafu anazofanya na viongozi.
Anatumia vinasa sauti au picha, vimemo kutoka mamlaka za juu, voucher, makubaliano yasiyo rasmi n.k
Mnakumbuka Mtikila alipojifanya kurusha mawe kwa RA, ikaonekana kumbe nae huwa anakinga bakuli pale.
Anatumia ushahidi huo kuwa-black mail viongozi kiasi kwamba wanajua kumwangusha RA ni kujiangusha wao wenyewe.
Hakuna hela anayotoa kusiwe na kamba (string) nyuma yake whether wewe unayepewa unajua ama la.
A couple of weeks ago RA aliwaamuru Vodacom wa-draw Tzs 350 millioni (sijakosea ni mia tatu hamsini millioni in Cash) toka Citi Bank.
Wazungu wa vodacom wananung'unika chini kwa chini tu wakijiuliza where on earth is he taking this money, wanamwogopa kama ukoma.
350m in cash bila maelezo ya unataka kuzifanyia nini, bado mnadhani mfumo wetu wa fedha ni salama!!!!!!!
Kwa hiyo msishangae alipomwambia Mr Lottering kwamba "something would happen" to him if he did not sign the POA. Wanaogopa kupigwa PI wakimkorofisha!!
The guy simply runs the show maana wawekezaji (uchwara) wanamwogopa kama ambavyo kina Mkapa, JK, UWT, Polisi na CCM wanavyomwogopa.
Kundi pekee la kutuokoa hapa ni Nguvu ya Umma.
Anasema RA na group yake ya mafia anakawaida ya kutunza kumbukumbu ya deal chafu anazofanya na viongozi.
Anatumia vinasa sauti au picha, vimemo kutoka mamlaka za juu, voucher, makubaliano yasiyo rasmi n.k
Mnakumbuka Mtikila alipojifanya kurusha mawe kwa RA, ikaonekana kumbe nae huwa anakinga bakuli pale.
Anatumia ushahidi huo kuwa-black mail viongozi kiasi kwamba wanajua kumwangusha RA ni kujiangusha wao wenyewe.
Hakuna hela anayotoa kusiwe na kamba (string) nyuma yake whether wewe unayepewa unajua ama la.
A couple of weeks ago RA aliwaamuru Vodacom wa-draw Tzs 350 millioni (sijakosea ni mia tatu hamsini millioni in Cash) toka Citi Bank.
Wazungu wa vodacom wananung'unika chini kwa chini tu wakijiuliza where on earth is he taking this money, wanamwogopa kama ukoma.
350m in cash bila maelezo ya unataka kuzifanyia nini, bado mnadhani mfumo wetu wa fedha ni salama!!!!!!!
Kwa hiyo msishangae alipomwambia Mr Lottering kwamba "something would happen" to him if he did not sign the POA. Wanaogopa kupigwa PI wakimkorofisha!!
The guy simply runs the show maana wawekezaji (uchwara) wanamwogopa kama ambavyo kina Mkapa, JK, UWT, Polisi na CCM wanavyomwogopa.
Kundi pekee la kutuokoa hapa ni Nguvu ya Umma.