BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
willium,
umewahi kufika kwa wananchi masikini wa dodoma?
Mfano mpwapwa miaka ya nyuma? Pale chuo cha ualimu?
Nilipofika pale nilitokwa machozi ( ilikuwa nyuma kidogo mwaka 2003 au 2004)
unajua kuwa walikuwa wanaomba ugali wa wanachuo?
Na hata ukitupwa walikuwz wakiuokota?
Unajua walikuwa wakijitolea kukaanga kitimoto bure ili wapate mafuta?
Hivi unajua maisha ya mtanzania aliyepo kijijini wewe?
Unajua kuna watu wanaishi kwa pusi moja ya pombe?(komoni) tena ya kununuliwa? Anainywa siku 1-2 kidogo asubuhi kidogo mchana kidogo jioni? Kwa sababu hana hela ya chakula?
Unajua kuna watu hawana shilingi 100 ya kununua panadol?
Ila haishangazi wewe kutokujua hayo........
umewahi kufika kwa wananchi masikini wa dodoma?
Mfano mpwapwa miaka ya nyuma? Pale chuo cha ualimu?
Nilipofika pale nilitokwa machozi ( ilikuwa nyuma kidogo mwaka 2003 au 2004)
unajua kuwa walikuwa wanaomba ugali wa wanachuo?
Na hata ukitupwa walikuwz wakiuokota?
Unajua walikuwa wakijitolea kukaanga kitimoto bure ili wapate mafuta?
Hivi unajua maisha ya mtanzania aliyepo kijijini wewe?
Unajua kuna watu wanaishi kwa pusi moja ya pombe?(komoni) tena ya kununuliwa? Anainywa siku 1-2 kidogo asubuhi kidogo mchana kidogo jioni? Kwa sababu hana hela ya chakula?
Unajua kuna watu hawana shilingi 100 ya kununua panadol?
Ila haishangazi wewe kutokujua hayo........