Kuna kipindi Nilikuwa natamani sana Rais wa Kenya UHURU KENYATA kutokana na tabia yake ya kupeleka maslahi ya Kenya Mbele! ILA KWA SPEED HII. TANZANIA tunae Rais! Najitokeza Kuwaambia I LOVE MY PRESIDENT. This is our president of all time!
Kama unamkubali THE PRESIDENT karibu.
1. Allowances lazima wapewe kwa sababu wapo nje ya majimbo/vituo vya kazi, hii inafanyika kisheria zaidi. Swali ni je, hizo allowance wanazopewa zinaendana na uchumi wa nchi yetu?
2. Mishahara ni haki yao vile ni wafanyakazi kama wengine, lakini swali ni je, hiyo mishahara ya milioni 12( kama ni kweli), inaendana na uchumi wetu?? Kwa nini kuwe na gape kubwa kati ya mbunge na wakili/daktari/mwalimu..nk? Lazima serikali iangalie na kuingilia.
3. Mikopo ya magari(shangingi), kwa maoni yangu serikali iangalie upya ni aina gani ya magari ya kuwapa waheshimiwa wabunge. Japo ni mikopo, sidhani kama wanahitaji kukopeshwa shangingis.
4. Mafao, kama mbunge anafanya kazi miaka mitano na kupewa marupurupu ya zaidi ya 100m, kwa nini mwalimu/daktari au mtumishi mwingine wa umma anayefanya kazi miaka 25+ asipewe marupurupu ya 500m?
Kuna sababu na haja ya kuangalia haya mambo kwa kina ziaidi. Nchi ni ya wa Tanzania sio ya watu wachache.
Kama huna mchango wowote si ukae kimya?
Sitting allowance wanayopewa wabunge haina uhusiano na kufanya kazi nje ya kituo cha kazi. Kama hufahamu, huwa wanapewa siting allowance na per diem (ambayo ndo ipo kisheria kwa kuwa wapo nje ya kituo cha kazi). Per diem wanapewa ya kipindi chote cha bunge (including weekends and holidays). Sittting allowance wanapewa kwa siku wazokaa vikao vya bunge.
Sitting allowance ya wabunge zifutwe na kubakia na mshahara tu! Hela ya dereva sijui msaidizi zote ziondolewe! Malipo ya vikao vya kamati zifutwe. Mfuko wa Jimbo ufutwe, Safari za Ulaya za kamati vibali kwa Rais. Wabunge walipwe mishahara tu na magari wakopeshwe. Ni maoni yangu tu ila kwakuwa Rais alikuwa Mbunge najua gharama halisi anazijua.
La mwisho ni I LOVE MY PRESIDENT! Najisikia raha kusema huyu ni Rais wangu.
Serikali kama haina hela? Itakuwaje?
NCHI HII ni yetu sote upo sahihi JPM ondoa posho zisizo na tija ,warsha ,kongamano ,workshop zinazotafuna .kataa mikopo ya wafadhili inayokumbatia haya matumizi.kuanzia bungeni ,wizarani hadi halmashauri.piga marufuku wakuu wa idara na vitengo kusafiri bila ruksa ya mkurungezi wa halmashauri.Sitting allowance ya wabunge zifutwe na kubakia na mshahara tu! Hela ya dereva sijui msaidizi zote ziondolewe! Malipo ya vikao vya kamati zifutwe. Mfuko wa Jimbo ufutwe, Safari za Ulaya za kamati vibali kwa Rais. Wabunge walipwe mishahara tu na magari wakopeshwe. Ni maoni yangu tu ila kwakuwa Rais alikuwa Mbunge najua gharama halisi anazijua.
La mwisho ni I LOVE MY PRESIDENT! Najisikia raha kusema huyu ni Rais wangu.
Asante kwa kurekebisha hilo. Kwa hiyo wanacho deserve ni per diem tu, hiyo sitting allowance ni utapeli tu.Sitting allowance wanayopewa wabunge haina uhusiano na kufanya kazi nje ya kituo cha kazi. Kama hufahamu, huwa wanapewa siting allowance na per diem (ambayo ndo ipo kisheria kwa kuwa wapo nje ya kituo cha kazi). Per diem wanapewa ya kipindi chote cha bunge (including weekends and holidays). Sittting allowance wanapewa kwa siku wazokaa vikao vya bunge.
Mh,magufuli kwa kasi ya mabadiliko uliyoanza nayo kila mtanzania anayeishi maisha ya kitanzania anakuunga mkono isipokuwa wapiga dilli najua hawakupendi lakini mungu amekuleta kwa makusudi yake zidi ya taifa lake..,
JK ndiye Mungu wako?
Hzo ni ndoto kwa siasa zetu mbofu mbofu hzi. Watawala wa CCM wanalitumia bunge letu kufunika na kufanikisha maovu na madili yao kwa hiyo kuwaminya wabunge hasa wa ccm ambao ndio wengi ni sawa na kuiweka serikali hatarini kukwama mambo yake hasa bajeti na mengineyo kupita bungeni. Na hii ndio simple logic ya wabunge kupewa mishahara mikubwa na marupurupu kibao wakati walimu na madaktari na watumishi wengine wa umma wakiendelea kuuumia kwa kisingizio cha serikali haina fedha!