Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Wewe UNAYEJIITA Mlengo wa kati, shari ufahamu kuwa kuna tofauti kubwa ya tuhuma za ufisadi na uhaini wa kuasi chama.
Kwa chama cha siasa, kosa la uhaini wa kuasi chama ni kosa kubwa sana kuliko ufisadi. Ufisadi umefanyika ndani ya serikali na ndiyo maana kina Nape wanazungumzia kuwaondoa katika chama wanaowatuhumu. Hawazungumzii kuwafikisha mahakamani.
Sasa kama wanataka kuwaondoa katika chama wanaowatuhumu, basi lazima wawaondoe kwanza wasaliti wa kwenye chama
Wewe unaejiita SPANNER usaliti wa Chama kwa Mwanachama una mgusa vipi Mtanzania ambae hana Chama? Halafu mwanzilishi wa Chama lazima jina liwe kwa msajili sasa hawa akina Sitta,Mwakyembe na Nape majina yao yako kwa Msajili wa vyama vya siasa Nchini? Mi naona ni hoja ya kijinga kabisa!