Pornograph(picha za ngono)

Al-shabaab

JF-Expert Member
Aug 24, 2013
1,791
617
Habari wana MMU,

Miaka ya hivi karibuni kumekua na wimbi kubwa sana la ongezeko la picha hizi za porn katika mitandao mbali mbali na sababu kubwa ninayoiona mimi ni kukua kwa teknolojia duniani.

Hivyo ningependa kupata michango yenu juu ya faida na hasara ya picha hizi hasa katika mahusiano ya kimapenzi
karibuni....
 
Amini usiamini serikali tatu hazifai jamani.maana zikiwepo ni kwamba hakuna muungano coz kila nchi itasimama yenyewe ss na hiyo serikali ya tatu cjui itakua inaishi vp hpo??
 
Msiwe na shaka, na wala sitaki watu muunderestimate KLH News.. Rais ataulizwa maswali. Nilikuwa nitume fax siku ya Ijumaa ya kujaribu kupanga hayo mahojiano then hili limetokea (msiba) so it threw me off...Lakini msiwe na shaka... We will go where no Tanzanian media has ever dared to...!!

Hakuna faida yake ni fedheha tu maana zaweza kuvuja muda wowote labda kww kupotelewa na simu au rafiki azitizame ajitumie. Au waweza kukorofishana na mpenzi akazivujisha ili akukomoe. Wanawake acheni upuuzi huu. Anayekupenda kweli hawezi kukudhalilisha kwa kukupiga picha za utupu.
 
yaani atletico madrid knocked out the mighty?? can't believe it.. afu man united bana.. hivi walitegemea kushinda jana, lol
 
Back
Top Bottom