Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
Tujifunze kujali maisha yetu binafsi na sio ya watu wengine,kila mtu anaishi anavyotaka.
acheni hizo, mitanzania ndivyo tulivyo, mtu akimpa kipaumbele mkewe/mumewe mnadhani yupo after something, ni mapenzi tu hayo, jamaa amechoka na vicheche na anaogopa kufa na ngoma.
i like this guy,anampa support sana mke wake and ofcourse jide deserve a true love, she is hard working, down to earth and faithful to her husband
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
What then is the use of the celebrity forum, hebu tujifunze kuwa kama wazungu, kama huna cha kuchangia unachungulia na kusepa. Hii ni forum sio majungu, wewe ni premium member lakini mshamba.
Hapo kwenye red: Kwani kila wanachofanya wazungu ni sahihi? Waafrika hatuwezi kuna na mitazamo na namna yetu ya kufikiri? Kwa hiyo wazungu wakianza kujisaidia barabarani wewe utaiga?
Achana na ya kujisaidia barabarani, unajiabisha unapokuwa kijibwa cha Gadner na ukiona kasemwa unakuja juu, nini maana ya JF kuwa na page ya celebrities. Tuige mifano bora kwa wenzetu......BADILIKA, KUBALI UMECHEMSHA.
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
What then is the use of the celebrity forum, hebu tujifunze kuwa kama wazungu, kama huna cha kuchangia unachungulia na kusepa. Hii ni forum sio majungu, wewe ni premium member lakini mshamba.
Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
Ndo shida ya mwanaume kukubali kuolewa hiyo...Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
kwenye facebook page ya gadner habash, picha zake zote yuko na mwanadada jide. Ina maana gadner hana private life zaidi ya kuwa na jaydee? Ukiingia page ya jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?
mkuu hii ni crap!Kwenye facebook page ya Gadner Habash, picha zake zote yuko na mwanadada Jide. Ina maana Gadner hana private life zaidi ya kuwa na Jaydee? Ukiingia page ya Jide, ni tofauti kabisa........au ndo penzi kukolea wajameni?