Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,546
- 10,039
Mkuu kwenye History haupo Sawa... Miaka ya Joshua ilikuwa ni time za kurejea kwenye Nchi ya Ahadi ambayo Ibrahim alishapewa na kina Isaac pia waliishi kabla hawajaenda Israel so stuka. Ibrahim ndio alielekezwa hiyo nchi na haikuwa na kitu wala kukaliwa na watuHiyo ardhi awali ilikaliwa (kwanza) na Wafilisti kaka, kabla Joshua hajaamuriwa awasngamize wenyeji wote ili Israel akae.
Tukiongea uongo hata haisaidii ukristo wetu