Shukrani A. Ngonyani
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,179
- 2,004
Ni ktk mwendelezo ule ule wa malalamiko na kuondokana na neno tumeibiwa kura zetu.
CCM wametangaza na kuapa kuwa mwaka huu hata kwa "goli la maradona" lazima washinde kwa kishindo.
Je? CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wamejiandaaje kulinda kura ktk ngazi zote za uchaguzi wa madiwani, wabunge na urais?
Je UKAWA mmejiandaaje kukabiliana na matumizi ya pesa ktk uchaguzi?
Ni kweli tunaenda ktk uchaguzi huku kama mwanaharakati wa kuukataa ukoloni mweusi nikiwa na shaka na wasiwasi mwingi sana kama kweli tutamaliza kwa umoja na ushindi.
Pombe tunaweza kuimwaga, makufuli tutabanduana, je tunaweza kulinda kura zetu? Hasa zile za urais?
Shukrani A. Ngonyani
Agosti 8, 2015
Dar Es Salaam,
00255784379799[/color]
CCM wametangaza na kuapa kuwa mwaka huu hata kwa "goli la maradona" lazima washinde kwa kishindo.
Je? CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wamejiandaaje kulinda kura ktk ngazi zote za uchaguzi wa madiwani, wabunge na urais?
Je UKAWA mmejiandaaje kukabiliana na matumizi ya pesa ktk uchaguzi?
Ni kweli tunaenda ktk uchaguzi huku kama mwanaharakati wa kuukataa ukoloni mweusi nikiwa na shaka na wasiwasi mwingi sana kama kweli tutamaliza kwa umoja na ushindi.
Pombe tunaweza kuimwaga, makufuli tutabanduana, je tunaweza kulinda kura zetu? Hasa zile za urais?
Shukrani A. Ngonyani
Agosti 8, 2015
Dar Es Salaam,
00255784379799[/color]