Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wana Jamii
Baada ya Mchakato wa Kura za maoni Kumalizika na Kusikiliza Rufaa zote, Tume ya Uchaguzi ya JF (JEC) imepitisha Majina ya Wagombea Watakaoingia Fainali na Kupigiwa Polls.
Ili kuuelewa mchakato ulikoanzia, tafadhali pitia uzi huu:https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/229183-jf-man-and-woman-of-the-year-2011-competition.html
Washindi waliopatikana sasa Watashindanishwa kwa Polls/Kura ili kupata Mshindi wa kila Category.
Majina yaliyopitishwa baada ya Wagombea wengi sana kuchujwa Katika Category ya:
King of MMU 2011 ni:
1. Mbu
2. The Boss
Tafadhali piga kura yako kwa yule unayedhani anafaa kuwa King of MMU 2011 kwa kuzingatia vigezo vilivyotajwa: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/229183-jf-man-and-woman-of-the-year-2011-competition.html
Ili kuleta raha na changamoto ya Ushindani - kampeni za kuwapamba wagombea na kuwapigia debe kwenye PM kwa members mbalimbali au katika uzi huu inaruhusiwa.
NB: ID zitakazopiga kura na kuhisiwa kuwa zinachakachua kwa maana ya ID Mpya kabisa au ID mfu ambazo si active kwa kipindi kirefu hadi kipindi hiki cha kura zote zitaondolewa.
Uamuzi wa Tume Utakuwa Wa Mwisho.
Signed & Sealed:
Superman
Chairman - JEC
Baada ya Mchakato wa Kura za maoni Kumalizika na Kusikiliza Rufaa zote, Tume ya Uchaguzi ya JF (JEC) imepitisha Majina ya Wagombea Watakaoingia Fainali na Kupigiwa Polls.
Ili kuuelewa mchakato ulikoanzia, tafadhali pitia uzi huu:https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/229183-jf-man-and-woman-of-the-year-2011-competition.html
Washindi waliopatikana sasa Watashindanishwa kwa Polls/Kura ili kupata Mshindi wa kila Category.
Majina yaliyopitishwa baada ya Wagombea wengi sana kuchujwa Katika Category ya:
King of MMU 2011 ni:
1. Mbu
2. The Boss
Tafadhali piga kura yako kwa yule unayedhani anafaa kuwa King of MMU 2011 kwa kuzingatia vigezo vilivyotajwa: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/229183-jf-man-and-woman-of-the-year-2011-competition.html
Ili kuleta raha na changamoto ya Ushindani - kampeni za kuwapamba wagombea na kuwapigia debe kwenye PM kwa members mbalimbali au katika uzi huu inaruhusiwa.
NB: ID zitakazopiga kura na kuhisiwa kuwa zinachakachua kwa maana ya ID Mpya kabisa au ID mfu ambazo si active kwa kipindi kirefu hadi kipindi hiki cha kura zote zitaondolewa.
Uamuzi wa Tume Utakuwa Wa Mwisho.
Signed & Sealed:
Superman
Chairman - JEC