Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wote nawapigia debe ..hujambo lakini ?huo una sredi yake
hapa mpigie debe unayemtaka.
wote nawapigia debe ..hujambo lakini ?huo una sredi yake
hapa mpigie debe unayemtaka.
wote nawapigia debe ..hujambo lakini ?
Hebu kuwa msikivu basi na wewe kaka Kongosho (leo utakuwa HE)!!!
Soma maoni ya BJ na Chauro hapo juu,.....ndo maanda utaona kwa nini hata mie naamini kuwa huu uchaguzi haufai!!
Usijekuanza kulalamika kuwa Babu ni mbishi....kumbe wewe una lako jambo!!
Babu DC!!
wote nawapigia debe ..hujambo lakini ?
Hakuna King mbele yangu, labda Mungu tu.
Usijali TB ni mtu wetu tumetoka nae mbali sana, huyo mbu lazima tumpige kwa pif paf ili ajifie mbele.ila upige kura, ndo muhimu
na vote for TB
Usijali TB ni mtu wetu tumetoka nae mbali sana, huyo mbu lazima tumpige kwa pif paf ili ajifie mbele.
kura yangu kwa Mbu.
Usijali TB ni mtu wetu tumetoka nae mbali sana, huyo mbu lazima tumpige kwa pif paf ili ajifie mbele.
Mbu mpango mzima
Nadhani ni siri. Mbona sijaona nani kampigia nani? wewe umesha piga?Hivi hizi kura ni siri ama?
Chagua mbu chagua maleria, dunia yako jf yako....
Hivi hizi kura ni siri ama?
Tena raha kweli nikutane na wewe kwenye chao cha kike, hata nikisimama wima ntamaliza haja yangu.Ebu check hii mutu.......kwani kutoka nae mbali ndio kigezo?? Tumia haki yako kwa usahihi jombaa, nyie ndo hamjui nini mnataka.....we mwanaume utaingizwa choo cha kike hivi hivi! Chagua mbu kwa mapwenti yenye akili wewe!!!