Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nadhani ulichouliza ni jibu, sio swali! Sijui cdm wana mkakati gani wa kufanya mikutano kwenye kambi za polisi ili kuwapa elimu ya uraia maana mtazamo wangu ni kwamba UKOMBOZI WA NCHI YETU UTACHELEWESHWA SANA NA JESHI LA POLISI. Wasipopata elimu kwamba ukombozi tunaouzungumzia ni pamoja na wao kupata maisha mazuri basi safari yetu bado ni ndefu!
filipo umenichekesha..tumwambie na sisi mbunge wetu afanye mikutano polisi trafiki na kule sakina kwa maafisa akimaliza aende njir