Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Mheshimiwa Ukiwaona Ditopile Mzuzuri alipiga risasi na kuua mchana kweupe polisi walipoona aliyeuawa ni kijana kapurwa kwa maana ya kipato cha chini walimbadilishia Mheshimiwa Ukiwaona Ditopile Mzuzuri hati ya mashitaka kutoka mauaji na kuwa manslaughter....au mauaji bila ya kukusudia...
Lakini huyu binti Lulu wanaona hii sasa ni murder... Mtoto wa mlalahoi sasa anabebeshwa zigo zito na DDP bila ya hata ushahidi wa kufanya hivyo...
Jeshi letu ni Jeshi la kulinda viongozi na kulinda mabwanyenye na linapozungumzia polisi shirikishi ni kutushirikisha katika kukubali uonevu kama huu...
Hali hii yaweza kumtokea mtu yeyote kati yetu. Tuanze kupambana na ubaguzi tunaofanyiwa na hawa polisi ambao waweza kuwa chanzo cha machafuko........
Lakini huyu binti Lulu wanaona hii sasa ni murder... Mtoto wa mlalahoi sasa anabebeshwa zigo zito na DDP bila ya hata ushahidi wa kufanya hivyo...
Jeshi letu ni Jeshi la kulinda viongozi na kulinda mabwanyenye na linapozungumzia polisi shirikishi ni kutushirikisha katika kukubali uonevu kama huu...
Hali hii yaweza kumtokea mtu yeyote kati yetu. Tuanze kupambana na ubaguzi tunaofanyiwa na hawa polisi ambao waweza kuwa chanzo cha machafuko........