Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,059
Kwa hiyo miaka 50 watoto wanakaa chini mpaka vodacom waisaidie Serikali ndio unaniambia niushirikishe ubongo wangu?Mimi na wewe nani anaropoka yaani wewe unautetea ujinga juu ya ujinga mwingine!!!!?
Kwa suala la elimu hapo umekosea sana! CCM imejitahidi sana kutengeneza sera nzuri ya elimu kiasi kwamba kila mtoto miaka hii ana uhakika wa kumaliza kidato cha nne! Huon haya ni maendeleo makubwa?
Kuhusu suala la madawati, nchi nyingi za africa bado hazijaweza kufanikisha kuendeleza miundominu ya shule zao, especially in rural remote areas where accessbility inakuwa ngumu! Kwa hilo la madawati CCM has nothing to do with it!