mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 535
Kwani wakti Ukawa wanavuta posho ya miezi mitatu hawakulijua hilo kuwa CCM wako wengi? Acheni umbulula wa kudhani kila mnachotaka nyie ndio kiko sahihi. Ukawa yenyewe kuna mchanganyiko wa watu mle, mpaka vichaa, wavuta bange n.k. Wamo. Halafu ndio waachiwe kila wanachodhani kutaka wapeweKatiba mpya wanayo magamba walichotaka ni kutaka kujifanya wanajadili kisha wapige kura ,kwakuwa wako wengi ionekane katiba imetungwa na watanzania wote na si maccm (kulikuwa na hajagani kutumia mabilioni kwenye tume wakati katiba tayari wanayo?)