Hakuna cha kumuomba mungu hapa, dawa ya moto ni moto, kuomba mungu wakati mwenzako hamfahamu wala hamuitaji huyo mungu wako ni kazi bure, cha msingi ni kukaba mpaka penalt. hawa jamaa wana sura za mbuzi hawana aibu hata kidogo.
mi naomba wanaarumeni tuwe tayari kutetea haki yetu tulioweka kwenye karatasi haijarishi wanakuja vipi hawa wamezoea dawa pambaneni haki haiji kwa mazungumzo hata siku moja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.