Mlingwa
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 381
- 58
1. Kutoka ndani ya wana-usalama, Wana CCM wamejipanga kwa kila hali ili kuchakachua matokeo na kisha Sumari kutangazwa mshindi.
2. Kuna magari yanaelekea Moshi standby kwa ajiri ya Sherehe, police wapo njiani kutokea Korogwe, Tanga, Handeni, Same na Mwanga kuimarisha ukandamizaji dhidi ya wapenzi wa CHADEMA,
3. Wamejipanga kupitia kwa adengenye kuzuia mikusanyiko yoyote kuanzia usiku huu.
My TAKE: Tuendelee kumtegemea Mungu for the fate of Arumeru East, lakini haki au Justice lazima itendeke.
2. Kuna magari yanaelekea Moshi standby kwa ajiri ya Sherehe, police wapo njiani kutokea Korogwe, Tanga, Handeni, Same na Mwanga kuimarisha ukandamizaji dhidi ya wapenzi wa CHADEMA,
3. Wamejipanga kupitia kwa adengenye kuzuia mikusanyiko yoyote kuanzia usiku huu.
My TAKE: Tuendelee kumtegemea Mungu for the fate of Arumeru East, lakini haki au Justice lazima itendeke.