MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
Sidhani kama tume ya chagonja itakuja na jipya, sana sana inaenda kujipatia per diem na posho za vikao.
Ukiisoma statement hiyo, ni kama tume imeshamaliza kazi yake, inaenda tu kupunga hali ya hewa.
Mkuu Chagonja, fikiria since November mnaokota maiti, taarifa zinatolewa hakuna hatua mnayochukua,
mtu anauawa tena hamchukui hatua na RPC wenu anatoa majibu rahisi rahisi tu, ulitaka ndugu yako
apigwe shoka na hao wauwaji ndo uamke na kutuma kikosi kazi.
Rai kwenu nyie viongozi wa polisi, mfanyie kazi hizi tetesi, siyo kupanga kulipua mikutano ya chadema as if chadema ndo jambazi sugu Tanzania.
Ukiisoma statement hiyo, ni kama tume imeshamaliza kazi yake, inaenda tu kupunga hali ya hewa.
Mkuu Chagonja, fikiria since November mnaokota maiti, taarifa zinatolewa hakuna hatua mnayochukua,
mtu anauawa tena hamchukui hatua na RPC wenu anatoa majibu rahisi rahisi tu, ulitaka ndugu yako
apigwe shoka na hao wauwaji ndo uamke na kutuma kikosi kazi.
Rai kwenu nyie viongozi wa polisi, mfanyie kazi hizi tetesi, siyo kupanga kulipua mikutano ya chadema as if chadema ndo jambazi sugu Tanzania.