mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Waandishi walitakiwa kumuuliza anaenda Songea kufanya nini wakati ameshachunguza na kubaini kuwa waandamanaji walikuwa wahuni?
Yaani huyu askari hata kazi yake haijui kabisa, haelewi hata scope of work aliyopewa. Unaendaje kuchunguza ukiwa tayari na upande unaoutetea na unaoukandamiza. Hawa watu wamelogwa na nani jamani.
Mkuu waandishi wetu wa habari wa leo kuna kitu? they can not go beyond, huwa nashangaa sana wanapewa kitu na kuchukua/copy mbio wanakimbia ofcn kwao kuandika. Walio makini walipaswa kuhoji hilo maana ndo msingi wa safari nzima to Songea. Anyway lets hpe itakuwa fair maana yupo RSO,OC Ngome wa kule, Boss kubwa ya Immigration na mkuu wa wazuia rushwa wa mkoa