Wewe ndio unashindwa kuelewa panogo sana!!..huyo sio mwanawe wa kumzaa! Ni msela wake na ushaambiwa akishavuta huwa anaweza kufanya chochote!..sasa huelewi nini hapa?
Na ni kweli kwa polisi ukijieleza vizuri hawana shida,hata km wana njaa kiasi gani,au labda huyo mwanao alikuwa na michuzi kibao?Si unakumbuka sakata la kina Zombe?
Hawa policcm ni njaa tu..
Kifuatacho jino kw jino km anamkumbuk ni bora kumvizia kitaa.tu mnampa nakoz afu anacndikizw na cndano za nyuma aende nai akapigwe bomba kbs...
Haw jamaa cjui wanarogwa kabla yakuvaa ile migwanda yaan cwaelewag kbsaaa
Na ni kweli kwa polisi ukijieleza vizuri hawana shida,hata km wana njaa kiasi gani,au labda huyo mwanao alikuwa na michuzi kibao?Si unakumbuka sakata la kina Zombe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.