Edgar011
Senior Member
- Aug 4, 2011
- 108
- 60
Yote mliyoyaongea yana MANTIKI. Lakini mmesahau kuongelea juu ya afya za hao askari kutokana na kwamba huyo VICTIM wamemtoa damu. Me nahoji usalama wao kama damu ya huo wanayempiga ina VVU. Ikizingatiwa kwamba kama ni teja kama inavyosemekana na wanavyo share mabomba ya sindano huko kwenye uteja wao,kuna usalama hapo kama incase hao maaskari wana aina yoyote ya mikwaruzo!!! This is a challenge,and next time they should think aftermath of what they do!!