yatima
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 354
- 130
Polisi wa TZ wanaudhi sana tena sana - niseme ni KERO kwa kwenda mbele .....................hivi huyu kijana akifa - si inabidi wafunguliwe kesi ya mauaji????? Wameshamkamata bado wanampiga - wanamtolea kijana wa watu frustrations zao za maisha - si waipige serikali ya sisiemu kwa kutufikisha hapa tulipo???? Yaani kijana wa watu hadi damu inamwagika ..................hii ni sawa kweli???? suppose ni kaka yako, suppose ni mdogo wako, suppose ni shemeji yako........suppose ni mwanao......................ahhhhhhhhhh anauma HUYU KIJANA ATAKUWA MGONJWA TU - APATE WAPI UJASIRI WA KUPIGA MAWE MCHANA KWEUPEEEEEEE .... HALI KILA MTU ANAMWONA ........TENA ANAYARUSHA KWA MBALI ....MUNGU MHURUMIE - MPONYE NA MRUDISHIE AKILI ZAKE TENA ...........AMEN ..............OLE WAO WANAOINGIZA MADAWA YA KULEVYA NA KUFANYA BIASHARA HIYO HARAMU....NDIO MATOKEO HAYO .....VIJANA WA KITANZANIA WANAATHIRIKA