Click_and_go
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 451
- 5
....matukio mengi sana ya maandamano ya amani nchini Tanzania yamegubikwa na fujo ambazo maranyingi husababishwa na polisi kuingilia kati wakidai eti kuna uvunjifu wa amani!!
lakini ukweli ni kwamba polisi huja kuvuruga amani na kusahau jukumu lao la kulinda watu na mali zao!
...tumeshuhudia maandamano mbali mbali ya wanafunzi na wafanyakazi wa taasisi mbalimbali yakivurugwa na polisi, japokuwa maandamano yao huwa ni ya amani kabisa!!!
....nawaomba polisi watumie nguvu hiyo kubwa katika kusaka wezi, vibaka na majambazi sio kujileta wakati wa maandamano na kufanyia miili ya watu kuwa "specimen" ya kujaribishia mafunzo yao waliyofundishwa huko kwenye kambi zao!!!!
lakini ukweli ni kwamba polisi huja kuvuruga amani na kusahau jukumu lao la kulinda watu na mali zao!
...tumeshuhudia maandamano mbali mbali ya wanafunzi na wafanyakazi wa taasisi mbalimbali yakivurugwa na polisi, japokuwa maandamano yao huwa ni ya amani kabisa!!!
....nawaomba polisi watumie nguvu hiyo kubwa katika kusaka wezi, vibaka na majambazi sio kujileta wakati wa maandamano na kufanyia miili ya watu kuwa "specimen" ya kujaribishia mafunzo yao waliyofundishwa huko kwenye kambi zao!!!!