jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,072
- 28,267
Najiuliza sana ni nani aliyeweka huu utaratibu wa kuripoti matukio ya kiuhalifu ?Je utaratibu huu unasaidia nini,?
Lengo la kuripoti matukio haya ni nini?
Nani aliyeweka format ya kuripoti.?
Kwa maoni yangu huu ni utaratibu mbovu na unasiriba haiba za mikoa au wilaya bila sababu ya msingi.
Leo hii tunaweza kuaminishwa kuwa mkoa flani unaongoza kwa matukio kisa tu ITV wapo mbele kuripoti matukio na hivyo kuacha mikoa yenye uhalifu katika uhalisia wake.
Aidha tunaporipoti matukio haya je sio chanzo cha kusababisha matukio haya kuigwa na kuendelea kutokea?
Utaratibu huu mbovu usitishwe haraka kuokoa fikra za jamii yetu.
Lengo la kuripoti matukio haya ni nini?
Nani aliyeweka format ya kuripoti.?
Kwa maoni yangu huu ni utaratibu mbovu na unasiriba haiba za mikoa au wilaya bila sababu ya msingi.
Leo hii tunaweza kuaminishwa kuwa mkoa flani unaongoza kwa matukio kisa tu ITV wapo mbele kuripoti matukio na hivyo kuacha mikoa yenye uhalifu katika uhalisia wake.
Aidha tunaporipoti matukio haya je sio chanzo cha kusababisha matukio haya kuigwa na kuendelea kutokea?
Utaratibu huu mbovu usitishwe haraka kuokoa fikra za jamii yetu.