Masanyaraz
Member
- Jun 10, 2011
- 41
- 1
Nijambo la kuhuzunisha kama siyo kusikitisha,kwa kiongozi aliye aminiwa na wananchi kuwawakilisha katika serikali na kuwatetea,anageuka kuwa mwiba kwa walio mpeleka.
Mh. Mbunge mmoja wa moja ya majimbo mkoani dodoma,anachangia hoja ya bajeti ya wizara ya mambo ya ndani
anadiriki kusema,
polisi mwenye silaha awapo katika kulinda amani aonapo raia wanaandamana kumkabili ni ruksa kufyetua risasi kuwaelekea raia.
NB;wananchi wanaandamana kwa amani na hawana silaha yeyote.
Sasa nihoji,polisi ni kwaajili ya viongozi au nikwaajili ya ulinzi wa raia na mali zao!na wananchi wanapo andamana,lengo ni kufanya fujo,vurugu au kufikisha ujumbe!
Tukipewa haki kimsingi,maandamano yatakuwepo?ama tusipo andamana au kuweka hadhara tutasemea wapi tusikike,ikiwa hata wawakilishi wetu huko wanatubadilikia na hao wachache wanaopigania haki zetu,wananyimwa haki ya kuongea na wengine kutolewa nje.
Naomba kuwasilisha.
Mh. Mbunge mmoja wa moja ya majimbo mkoani dodoma,anachangia hoja ya bajeti ya wizara ya mambo ya ndani
anadiriki kusema,
polisi mwenye silaha awapo katika kulinda amani aonapo raia wanaandamana kumkabili ni ruksa kufyetua risasi kuwaelekea raia.
NB;wananchi wanaandamana kwa amani na hawana silaha yeyote.
Sasa nihoji,polisi ni kwaajili ya viongozi au nikwaajili ya ulinzi wa raia na mali zao!na wananchi wanapo andamana,lengo ni kufanya fujo,vurugu au kufikisha ujumbe!
Tukipewa haki kimsingi,maandamano yatakuwepo?ama tusipo andamana au kuweka hadhara tutasemea wapi tusikike,ikiwa hata wawakilishi wetu huko wanatubadilikia na hao wachache wanaopigania haki zetu,wananyimwa haki ya kuongea na wengine kutolewa nje.
Naomba kuwasilisha.