bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 744
- 1,265
jeshi letu la polisi lina mapungufu mengi tu lakini si kila sehemu tulihukumu, juzi kati kuna kijana alikuwa nyumba ya kulala wageni anakula zake starehe lakini alidanganya kuwa ametekwa. nadhani itakuwa si busara kila wakati kuwahukumu bila kuwa na ushahidi wa kutosha.