Polisi Kagera wamzuia James Mbatia kutembelea maeneo yaliyoathirika na kugawa misaada

View attachment 400014


Serikali ikitaka kutohujumiwa isijaribu kuwahujumu wanachi wake .


Bukoba inasemekana kuna watu wamezuiliwa kutoa misaada kisa tu wao si ccm yaani ni wapinzani wa ccm .
Tukiseama ccm inawahujumu wanachi wake tutakuwa tunakosea?

Kuna watu wanakamatwa na kunyimwa zamana police mpaka Lissu anashinda mahakamani kusubiri wateja mpaka atoe matamko ndipo watu waachiwe,Tukisema serikali kupitia jeshi la police inawahujumu wanachi tutakuwa tunakosea?

Kuna utafiti ulifanyika kuhusu bunge Kututoonyeshwa live 86% ya watu waliaani kitendo cha bunge kutokuonyeshwa live na kuiambia serikali iludishe bunge TBC na liwe live lakini mpaka sasa hivi kimya Tukisema serikali inahujumu wanachi tutakuwa tunakosea?

Wakulima wamelima mazao Kwa wingi lakini cha kushangaza Serikali imekataa kununua na zaidi imekataa usafirishaji kwenda nje ya nchi, tukisema serikali inawahujumu wananchi tutakuwa tunakosea?

Sasa hivi kuna swala la fao la kujitoa pesa iende kwenye viwanda nikisema serikali inawahujumu wananchi nitakuwa nakosea?
 
Utakua unakosea Kwa sababu serikali yenyewe ndo wananchi.. Hivyo serikali kuumia ndo kunazidi kuumiza wananchi. Serikali ipo Kwa wananchi. TUSIWE WATU WA KUSHANGILIA SERIKALI KUSHINDWA KWANI TUTAKUWA TMESHINDWA SISI.
 
Serikali ikitaka kutohujumiwa isijaribu kuwahujumu wanachi wake .

Bukoba inasemekana kuna watu wamezuiliwa kutoa misaada kisa tu wao si ccm yaani ni wapinzani wa CCM.

Tukiseama CCM inawahujumu wanachi wake tutakuwa tunakosea?

Kuna watu wanakamatwa na kunyimwa dhamana polisi mpaka Lissu anashinda mahakamani kusubiri wateja mpaka atoe matamko ndipo watu waachiwe,Tukisema serikali kupitia jeshi la police inawahujumu wanachi tutakuwa tunakosea?

Kuna utafiti ulifanyika kuhusu bunge Kututoonyeshwa live 86% ya watu waliaani kitendo cha bunge kutokuonyeshwa live na kuiambia serikali iludishe bunge TBC na liwe live lakini mpaka sasa hivi kimya Tukisema serikali inahujumu wanachi tutakuwa tunakosea?

Wakulima wamelima mazao Kwa wingi lakini cha kushangaza Serikali imekataa kununua na zaidi imekataa usafirishaji kwenda nje ya nchi, tukisema serikali inawahujumu wananchi tutakuwa tunakosea?

Sasa hivi kuna suala la fao la kujitoa pesa iende kwenye viwanda nikisema serikali inawahujumu wananchi nitakuwa nakosea?

Bado naamini serikali inakurupuka kwenye mambo nyeti ya nchi.
 
Ebu imagine unapewa hema Bure ukajihifadhi na watoto wako alafu mtu anakuja kukunyang'anya ulale nje. Inaumaje?.
Kuna matatizo ya kiuongozi mbele ya safari. Mungu atuepeushe na majanga.

Hivi haijafika tu BUNGENI?
 
Read carefully of what i have said. Emu tafakari kidogo, viongozi wa vyama vya siasa kila mmoja apeleke msaada kivyake, kila mbunge nae kivyake, mabalozi kivyao, wananchi wengine kivyao, mbatia kivyake, EL kivyake. Si itakua vurugu. Misaada yote ni vyema ipitie serikalini na serikali ndo itagawa. Jamani hii demokrasia inatupeleka kwenye DOMOkrasia
sijui kama umetafakali wakati unaandika! hivi unajua maana ya majanga? yameshawahi kukukuta? Mimi nimewahi kukutwa na nilisaidiwa wewe umewahi au ukisikia hivyo unafikili ni kama hadithi unazosimulia humu kwenye mitandao?

Yaani kwa upeo wako mtu kabomokewa na nyumba then mtoa msaada aanze kumtafuta DC huku hema analo na aliyebomokewa yupo? unaona ndio utaratibu utakua mzuri eeh? lakini huyo binadamu aendelee kulala nje kisa DC afanye tathmini yake? wewe binadamu Kweli? utakua unaroho mbaya mnooooo! kisa siasa tuu?

Naomba Mungu aje akupe Janga moja tuu uone kama utaandika utumbo kama huu! na usisaidiwe usubiri michakato!
 
Mkuu hii habari imenisikitisha tena sana!

Hivi huyo polisi anaekuta familia imejisitiri chini ya hema halafu analichukua hilo hema na kuiacha familia nje....nafsi yake haimsuti? Hivi kweli kabisa anaweza akajificha nyuma ya kigezo cha "maagizo kutoka juu"? Mimi naamini inafika mahali ambapo inabidi ukatae maagizo mengine....maana yana kinzana kabisa na mafunzo yao hao polisi. Hawa inamaana hata siku wakiambiwa waue raia wasiokua na hatia watafanya hivyo.

Kama taifa sasa tunaelekea sehemu hatari. Naanza kuomba Mungu aepushe janga lolote lisitokee mikoa ya arusha na kilimanjaro....hii serikali inaweza isisaidie hata kidogo.
Yaani inasikitisha sana. Eti wanasema watu wasitoe misaada kiholela lazima ipitie kwa Mkuu wa mkoa. Hivi wakimkuta mtu yuko uchi hana nguo wanampa nguo avae au wanapeleka kwanza kwa mkuu wa mkoa?!
 
Angalizo: Post hii imeandikwa kwa Upole kabisa .
Jana Jioni Tukaondoka Bukoba kwenda Dodoma tukamuacha Mhe.Mbatia akiendelea kushirikiana na viongozi wengine eneo la Maafa

Polisi wakaanza kumtafuta na mwisho wa Siku wakamzuia kuendelea kutembelea maeneo hayo na kugawa misaada mbalimbali

Tuna habari tunazotafuta uthibitisho kuwa Hata maturubali yaliyotolewa na Viongozi Freeman Mbowe ,Mhe.Mbatia,Mhe.Severina Mwijage,Mhe.Lwakatare kwa niaba ya viongozi wa UKAWA kwa wananchi kwa ajili ya kutengenezea mahema kama sehemu ya msaada wa Dharura kwa wananchi hao waliokuwa hawana msaada wowote ,Polisi walipita na Kuanza kuyakusanya.Wanadai misaada yote ipite kwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa tu.Urasimu usio na maana katika crisis hii

Kwanini Polisi watumie muda na nguvu kufanya haya? Kwanini wasitumie nguvu hizo wao na jeshi kama sehemu ya Rapid Response kusaidia watu hawa waliokuwa stranded kwa zaidi ya saa 72?

Kwenye majanga haya tunahitaji Umoja wa Kitaifa zaidi .Waliothirika ni Watanzania wenzetu

Leo Bungeni Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Azzan Zungu ameomba radhi kwa Ubaguzi uliofanyika Bungeni leo baada ya mtoa taarifa ya Serikali kumbagua Kiongozi wa Kambi ya Upinzani wakati akitoa pongezi kwa viongozi wa kitaifa walio-respond haraka kuhusiana na maafa haya

Maafa haya yametuvua nguo kama Taifa.Hata kwenye majanga bado watu wanataka kuleta siasa tena za kibaguzi

Hali hii inatoa picha kwamba Taifa limegawanyika

Picha iliyojitokeza Bukoba ndio hali halisi ya Taifa letu

Taifa lisiloweza ku-respond haraka katika kuokoa maisha ya watu wake na kuendeleza lugha za "Tumepeleka wataalamu kufanya tathmini au Uhakiki" ni taifa lisilojua interest zake.

Primary interest(Maslahi yaMsingi Kabisa) za kulifanya taifa lolote kuwa taifa linaloheshimika ni kulinda watu na Ardhi(Mipaka) yake.Ndio maana taifa lolote lipo tayari kuingia vitani kwa ajili ya kulinda hata nchi moja ya Ardhi yake au Mtu wake.Ndivyo nadharia za Diplomasia na siasa za kimataifa zinavyoelekeza

Sasa kwa hapa kuna kitengo chini ya Waziri Mkuu nilidhani kitengo hiki cha Maaafa ni kwa ajili ya kulinda Interest hizi .Kina wataalamu na kila kitu standby

Serikali inashibdwaje kutoa hata Milioni 300 za dharura ili watu wasilale nje na kukosa vyakula?

Kwa kuwa kuna kambi za majeshi kanda ya Ziwa ambako tumepakana na nchi Tatu ilishindikana nini kufunga mahema haraka na kutoa msaada ?

Mungu Epushia Mbali,tungekua tumevamiwa na Adui kijeshi tukapigwa mabomu ingekuaje?

Nawapongeza wafanyabiashara waliojitolea jana

Walionesha Utaifa bila Ubaguzi ingawa Rais Magufuli mara nyingi amekua akitumia lugha za kuwagawa watu

Mara nyingi amekua akisema alichaguliwa na Watanzania Maskini

Jana Matajiri wamejitolea kuwasaidia Watanzania waliokumbwa na maafa bila kujali ni Tajiri au maskini aliyeathirika

Tetemeko hili limetu-expose

Mungu wape wepesi watu wa Kagera

Mungu ibariki Tanzania

Aluta Continua,Victory Ascerta....

Ben Saanane
Hao jamaa waliomzuia mbatia ninawadiwasi uwezo wao wa kufikiri utakuwa umefikia ukomo. Au hao ndo wale waliopata hiyo fursa ya kazi kwa ajili tu ni mrefu na mkimbiaji wa riadha na si elimu
 
Yaani hii ndiyo Serikali ya kitoto kabisa ambayo tumewahi kuwa nayo kama Taifa.
 
Michango yote inawakilishwa serikalini
Ili serikali iweze kugawa hiyo misaada kisiasa eeehh?

Hivi uliangalia bunge jana? Taarifa ya serikali ilitaambua michango ya taasisi zote isipokuwa vyama vya upinzani. Mpaka zungu akaona aibu ikabidi aje aokoe jahazi.

Where are we headed as a country???
 
Yaani wako radhi wananchi wateseke kuliko kuonekana wamepewa msaada na wapinzani,shame!
Halafu wanakwenda kutuaibisha kwa kuwachangisha Mabalozi na wafanyabiashara kwa mtindo wa Vikao vya harusi .....!!!
 
Angalizo: Post hii imeandikwa kwa Upole kabisa .
Jana Jioni Tukaondoka Bukoba kwenda Dodoma tukamuacha Mhe.Mbatia akiendelea kushirikiana na viongozi wengine eneo la Maafa

Polisi wakaanza kumtafuta na mwisho wa Siku wakamzuia kuendelea kutembelea maeneo hayo na kugawa misaada mbalimbali

Tuna habari tunazotafuta uthibitisho kuwa Hata maturubali yaliyotolewa na Viongozi Freeman Mbowe ,Mhe.Mbatia,Mhe.Severina Mwijage,Mhe.Lwakatare kwa niaba ya viongozi wa UKAWA kwa wananchi kwa ajili ya kutengenezea mahema kama sehemu ya msaada wa Dharura kwa wananchi hao waliokuwa hawana msaada wowote ,Polisi walipita na Kuanza kuyakusanya.Wanadai misaada yote ipite kwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa tu.Urasimu usio na maana katika crisis hii

Kwanini Polisi watumie muda na nguvu kufanya haya? Kwanini wasitumie nguvu hizo wao na jeshi kama sehemu ya Rapid Response kusaidia watu hawa waliokuwa stranded kwa zaidi ya saa 72?

Kwenye majanga haya tunahitaji Umoja wa Kitaifa zaidi .Waliothirika ni Watanzania wenzetu

Leo Bungeni Mwenyekiti wa Bunge Mhe.Azzan Zungu ameomba radhi kwa Ubaguzi uliofanyika Bungeni leo baada ya mtoa taarifa ya Serikali kumbagua Kiongozi wa Kambi ya Upinzani wakati akitoa pongezi kwa viongozi wa kitaifa walio-respond haraka kuhusiana na maafa haya

Maafa haya yametuvua nguo kama Taifa.Hata kwenye majanga bado watu wanataka kuleta siasa tena za kibaguzi

Hali hii inatoa picha kwamba Taifa limegawanyika

Picha iliyojitokeza Bukoba ndio hali halisi ya Taifa letu

Taifa lisiloweza ku-respond haraka katika kuokoa maisha ya watu wake na kuendeleza lugha za "Tumepeleka wataalamu kufanya tathmini au Uhakiki" ni taifa lisilojua interest zake.

Primary interest(Maslahi yaMsingi Kabisa) za kulifanya taifa lolote kuwa taifa linaloheshimika ni kulinda watu na Ardhi(Mipaka) yake.Ndio maana taifa lolote lipo tayari kuingia vitani kwa ajili ya kulinda hata nchi moja ya Ardhi yake au Mtu wake.Ndivyo nadharia za Diplomasia na siasa za kimataifa zinavyoelekeza

Sasa kwa hapa kuna kitengo chini ya Waziri Mkuu nilidhani kitengo hiki cha Maaafa ni kwa ajili ya kulinda Interest hizi .Kina wataalamu na kila kitu standby

Serikali inashibdwaje kutoa hata Milioni 300 za dharura ili watu wasilale nje na kukosa vyakula?

Kwa kuwa kuna kambi za majeshi kanda ya Ziwa ambako tumepakana na nchi Tatu ilishindikana nini kufunga mahema haraka na kutoa msaada ?

Mungu Epushia Mbali,tungekua tumevamiwa na Adui kijeshi tukapigwa mabomu ingekuaje?

Nawapongeza wafanyabiashara waliojitolea jana

Walionesha Utaifa bila Ubaguzi ingawa Rais Magufuli mara nyingi amekua akitumia lugha za kuwagawa watu

Mara nyingi amekua akisema alichaguliwa na Watanzania Maskini

Jana Matajiri wamejitolea kuwasaidia Watanzania waliokumbwa na maafa bila kujali ni Tajiri au maskini aliyeathirika

Tetemeko hili limetu-expose

Mungu wape wepesi watu wa Kagera

Mungu ibariki Tanzania

Aluta Continua,Victory Ascerta....

Ben Saanane
Ni ufinyu mkubwa sana wa kifikra walioufanya serikali kupitia polisi. Hawajui ni kete nyingine kwa wapinzani
 
Yaani inasikitisha sana. Eti wanasema watu wasitoe misaada kiholela lazima ipitie kwa Mkuu wa mkoa. Hivi wakimkuta mtu yuko uchi hana nguo wanampa nguo avae au wanapeleka kwanza kwa mkuu wa mkoa?!
Wanataka misaada ipitie huko ili waigawe kwenye maeneo yaliyowapa sapoti ccm...huku kwingine wapeleke makombo.
 
Back
Top Bottom