Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,445
- 4,087
Sina tabia ya kupumulia watu visogoni, hasira zenu za vyeti feki na kuzuiliwa mafuta yenu pendwa pendwa ziishie kwa Ummy ndugu wali, usijipendekeze kwangu situmii hiyo bidhaa.Duh ni kweli unamapenzi makali kiasi hicho kwa huyo mkuu wa nchi?
Sorry wewe ni Ke au Me?
Mapenzi yako sio salama kwa mke wake you know! Please control your emotions on him utaharibu ndio ya watu
Sent using Jamii Forums mobile app