Diwani Unga Ltd
Senior Member
- Oct 12, 2013
- 149
- 70
Jeshi la Polisi limewatia nguvuni msafara WA wanachadema uliokuwa ukitoka katika mkutano mkuu WA chama hicho jijini DAR Es Salaam. msafara huo ulikuwa ukielekea kanda ya ziwa magharibi NA msafara huo ulikuwa ukiongozwa NA Mratibu WA kanda hiyo Bw. Nyamwanji ambae yupo katika kizuizi cha police pamoja NA Mwenyekiti WA Mkoa WA Katavi ambae nae yupo kizuizini.
Jeshi hilo pia limewatia kizuizini baadhi WA wanachama waliokuwa kwenye safari hyo. pia wafanyakazi NA maofisa WA chama walitiwa nguvuni.
pia Jeshi hilo limetoa karipio kwa askari walioruhusu msafara huo kukatiza dodoma.
vitendo hivi havivumiliki lazima watanzania wote tupaze sauti juu ya huu unuanyasaji WA police.
Jeshi hilo pia limewatia kizuizini baadhi WA wanachama waliokuwa kwenye safari hyo. pia wafanyakazi NA maofisa WA chama walitiwa nguvuni.
pia Jeshi hilo limetoa karipio kwa askari walioruhusu msafara huo kukatiza dodoma.
vitendo hivi havivumiliki lazima watanzania wote tupaze sauti juu ya huu unuanyasaji WA police.