Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,017
habari sio kweli hakuna mtu anaruhusi kwenda club na smg
ipo kwenye mwananch ya juz front page kulia
habari sio kweli hakuna mtu anaruhusi kwenda club na smg
Dah hii habari kila nikifikiria nachoka kwa kicheko! Hebu fikiria upo Club alafu upo kwenye dance floor unayarudi unakumbana na polisi amebeba SMG nae akiyarudi!! Hakyanani mnaweza kutafutana!!!
Wewe! Baunsa aende wakati mtu ana SMG yenye risasi 30 na magazin ya akiba nayo risasi 30! Hata komandoo kipensi angelala mbele alaaa![/QUOTE]
umenikumbusha mbali enzi za ile movie ya komandoo kipensi:lol::lol::lol::lol::lol: