escober
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 391
- 98
Waliwaua na kuwapiga wanachadema wa arusha waliokuwa wanaandamana kudai haki yao wakisingizia taarifa za kiintelijensia.jana polisi wakaacha chadema waandamane wenyewe ili waone kama watazua vurugu ili wapate cha kusema. Kwa mshangao wao mashujaa wetu wakaagwa kwa amani bila fujo yoyote.
kwa hili polisi wameumbuka na taarifa zao za kiintelijensia
kwa hili polisi wameumbuka na taarifa zao za kiintelijensia