zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Katika mkutano wa Chadema dodoma,Dogo janja alishangazwa na Serikali ya magamba.
Kupeleka police 800,magari ya washawasha 4..na vingine kama waenda vitan vile.
Magari 45 ya police
Magari 4 ya maji washa.
Mabomu ya machozi ya kutosha.
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Kupeleka police 800,magari ya washawasha 4..na vingine kama waenda vitan vile.
Magari 45 ya police
Magari 4 ya maji washa.
Mabomu ya machozi ya kutosha.
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza.