Bado Kidogo 2015
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 207
- 78
Kamishna wa Operation na Mafunzo Paul A. Chagonja ukweli hafai kupewa jukumu kubwa la kusemea Jeshi la Polisi katika matukio makubwa yoyote hasa ya kisiasa kwa sababu zifuatazo;
1.0 Ana jazba kubwa sana katika kuelezea mambo, kama anawaowaeleza hawana uelewa wa kuelewa chochote au ni kama watoto wa shule ya msingi wanaofundishwa masomo ya sekondari na hivyo ni vigumu kwao kuelewa.
2.0 Anaonyesha mapenzi ya wazi kabisa kwa chama tawala, wakati itikadi yeye hatakiwi kuonyesha yupo upande gani. Kazi hiyo angewaachia akina PM Pinda ambaye akizidiwa analia!
3.0 Hana mpangilio mzuri katika kueleza mambo, ni kama haeleweki.
Kwa sababu hizo na nyinginezo kama usafi wake machoni pa watu unatilisha mashaka nawashauri kabisa Jeshi la Polisi kuacha kuendelea kumtumua mtu huyu katika matukio makubwa hasa ya kisiasa maana anawapaka matope kuliko inavyodhaniwa.
1.0 Ana jazba kubwa sana katika kuelezea mambo, kama anawaowaeleza hawana uelewa wa kuelewa chochote au ni kama watoto wa shule ya msingi wanaofundishwa masomo ya sekondari na hivyo ni vigumu kwao kuelewa.
2.0 Anaonyesha mapenzi ya wazi kabisa kwa chama tawala, wakati itikadi yeye hatakiwi kuonyesha yupo upande gani. Kazi hiyo angewaachia akina PM Pinda ambaye akizidiwa analia!
3.0 Hana mpangilio mzuri katika kueleza mambo, ni kama haeleweki.
Kwa sababu hizo na nyinginezo kama usafi wake machoni pa watu unatilisha mashaka nawashauri kabisa Jeshi la Polisi kuacha kuendelea kumtumua mtu huyu katika matukio makubwa hasa ya kisiasa maana anawapaka matope kuliko inavyodhaniwa.