Lakini mkuu mundali usikwepe njia ya amani ya kutatufuta suluhu!Hiyo unayoisema ingewezekana kwa serikali inayojali watu wake lakini siyo hii yetu!Maana kodi ikipungua hawa fisi wataichukua ile iliyopatikana washibishe matumbo yao na mishahara hawatalipa na ikikosekana kabisa wako tayari kuuza hata bandari moja hapa kwetu wapatie fedha ya kujineemesha au umesahau walivotaka kuuza bandari ya mtwara kwa ajili ya kulipia gharama za ndege mbovu air jordan?Kumbuka watanzania maskini ndio wanaohitaji mwalimu,daktari,muhasibu,vyuo nk.wala serikali hii haiwahitaji hawa watu hata kidogo maana hawasomi humu,hawatibiwi humu na hawahitaji kutibiwa humu maana hawana sababu ya kupata huduma humu nchini ila mimi na wewe ndo tunaohitaji haya mambo yote..Hivyo njia sahihi ni kuonyesha kuwa hatuhitaji viongozi wa aina na hawakutokana na sisi hivyo hawawezi kutuongoza tena!!Kwamba sisi ndio tunaoona umuhimu wa kuliweka jeshi lolote na tuwapokonye silaha polisi hawa wa CCM na tuwafukuze kwenye ofisi zetu na nyumba zetu!!Tufukuze raisi maana sio aina ya raisi tunayemtaka na serikali yake!!Tukifute CCM maana sio aina ya chama kinachotufaa!!Sasa haya yote yanagharama zake na miongoni mwao tena gharama rahisi sana kuuwawa na polisi wa serikali tusioitaka!!Au kuwaua polisi wa serikali tusioitaka kama hawataondoka kwa hiari yao wenyewe!!Hivyo ndivyo utavyopata ukombozi wa kweli na kuheshimiana!!ukombozi wowote ni lazima utokane na damu ya watu wanaotaka kukombolewa bila hivyo hawa mnaowaita polisi wataendelea kuua mmoja baada ya mwingine!Wakati umefika sasa kujikomboa kutokana na makucha mabeberu wauaji na wakandamizaji CCM...!!!Ndugu zangu watanzania wazalendo wa kweli wa nchi hii. Kwa takribani miaka minane sasa tumeshuhudia hali ya nchi ikizidi kudhoofu kiuchumi, maisha yamezidi kuwa magumu, hali ya elimu imekuwa ikishuka kiviwango, hali ya usalama wa raia imekuwa mbaya kiasi cha kufikia watu kuuawa na polisi hadharani. Kimsingi ni kwamba uongozi wa kisera umefikia tamati ya uwezo wake kifikra na uwajibikaji. Tuna wajibu mimi na wewe wa kurekebisha hali hii, na kuna namna nyingi za kukomesha mfumo kandamizi. Tulio wengi tungechagua mtindo wa mapinduzi ya umma. Njia hii ni nzuri na ina majibu ya haraka, lakini ina maumivu ya muda mrefu pia.
Nadhani tujadili njia ya kuidhoofisha serikali iliyoko madarakari, ambayo inapata nguvu kubwa kutoka kwetu wenyewe. Magari ya maji ya kuwasha, risasi, mabomu, fimbo, na zana zote za uhalifu wa utu wa mwanadamu zinatokana na kodi zetu. Matumizi ya anasa ya serikali yanatokana na kodi zetu.
Sasa ndugu watanzania, tunaweza kuiadhibu serikali yetu na ikatusikiliza iwapo tu tutainyima mapato. Na hili linawezekana pasipo kuvunja sheria yoyote ya nchi hii, tena ni njia yenye ufanisi wa hali ya juu na isiyo na madhara yoyote ya kiafya kwa tutakaoitumia.
Tuhamasishane kususia unywaji wa pombe na vinywaji jamii ya soda, tuhamasishane kususia uvutaji wa sigara. Hii ina madhara makubwa kwa mapato ya serikali, lakini si kwa uchumi wetu kama taifa, kwani kutatokea substitution effect, isiyo na madhara kwa uchumi lakini yenye madhara kwa serikali kikodi. Badala ya serikali kununua silaha za kupambana na wananchi wake, hicho kidogo itakachokipata italazimika kulipa mishahara ya watumishi wake.
Chaguo sahihi ni kunywa maji, na kula pipi kali (kwa wavuta sigara). Hii itadhoofisha serikali, hivyo itasikiliza kilio cha watu wake.
Napenda kusikia mawazo toka kwenu.
Nakubaliana na wewe kwa sehemu kubwa sana Gwakisa, hasa ndilo lengu kuu, kuiondoa madarakani hii serikali dhalimu ya CCM. Lakini kumbuka tuko kwenye jamii iliyojaa watu wazito kufanya maamuzi magumu, kama ya kujitoa mhanga kukabili nguvu za majeshi ya hawa madikteta, wengi wanakuwa na kauli za kukata tamaa kama vile "YOTE TUNAMWACHIA MUNGU" n.k. Lakini tukianza kuwaunganisha katika haya mambo ambayo wanaishi nayo kila siku yenye madhara ya moja kwa moja kwa serikali, itakuwa rahisi sana kwa umoja huo kufanya mapinduzi ya kijamii. Kwa mfano tutumie kauli mbiu kama, "Soda uinywayo ndio risasi ikumalizayo", ama "Ukinywa bia moja unaangamiza watanzania kumi kwa mabom ya machozi".Lakini mkuu mundali usikwepe njia ya amani ya kutatufuta suluhu!Hiyo unayoisema ingewezekana kwa serikali inayojali watu wake lakini siyo hii yetu!Maana kodi ikipungua hawa fisi wataichukua ile iliyopatikana washibishe matumbo yao na mishahara hawatalipa na ikikosekana kabisa wako tayari kuuza hata bandari moja hapa kwetu wapatie fedha ya kujineemesha au umesahau walivotaka kuuza bandari ya mtwara kwa ajili ya kulipia gharama za ndege mbovu air jordan?Kumbuka watanzania maskini ndio wanaohitaji mwalimu,daktari,muhasibu,vyuo nk.wala serikali hii haiwahitaji hawa watu hata kidogo maana hawasomi humu,hawatibiwi humu na hawahitaji kutibiwa humu maana hawana sababu ya kupata huduma humu nchini ila mimi na wewe ndo tunaohitaji haya mambo yote..Hivyo njia sahihi ni kuonyesha kuwa hatuhitaji viongozi wa aina na hawakutokana na sisi hivyo hawawezi kutuongoza tena!!Kwamba sisi ndio tunaoona umuhimu wa kuliweka jeshi lolote na tuwapokonye silaha polisi hawa wa CCM na tuwafukuze kwenye ofisi zetu na nyumba zetu!!Tufukuze raisi maana sio aina ya raisi tunayemtaka na serikali yake!!Tukifute CCM maana sio aina ya chama kinachotufaa!!Sasa haya yote yanagharama zake na miongoni mwao tena gharama rahisi sana kuuwawa na polisi wa serikali tusioitaka!!Au kuwaua polisi wa serikali tusioitaka kama hawataondoka kwa hiari yao wenyewe!!Hivyo ndivyo utavyopata ukombozi wa kweli na kuheshimiana!!ukombozi wowote ni lazima utokane na damu ya watu wanaotaka kukombolewa bila hivyo hawa mnaowaita polisi wataendelea kuua mmoja baada ya mwingine!Wakati umefika sasa kujikomboa kutokana na makucha mabeberu wauaji na wakandamizaji CCM...!!!
mwogopeni anayetafuta madaraka kwa kalamu,akiingia ikulu atatoka kwa risasi....frederick sumaye
Ni vizuri umejiuliza hayo maswali leo baada ya mzunguko kukufikia!
Ukweli ni kwamba hiyo nchi haipo na wala haijawahi kuwepo, kilichokuwepo na ambacho kipo ni propaganda tu za viongozi tangu mwanzo kujaribu kutuaminisha kwamba tunaishi ktk hiyo nchi uliyoielezea !
Jeshi la Polisi la Tanzania, kama vilivyo vitu vingi kwenye mfumo wetu, ni lile lile ambalo tumerithi kutoka kwa wakoloni, hatujabadilisha chochote kwa sababu ambazo watawala wetu wanazijua wao, kama ilivyo elimu yetu, kama zilivyo sheria tu nyingi kama sio zote, hivi unajua hata Sare tu za polisi bado zinatoka Uingereza mpaka leo?
Kwa kifupi Jeshi la Polisi au Jeshi la Wananchi (JWTZ) wamekuwa wakitesa na wakiua watu tangu ukoloni na mpaka leo sema tofauti tu ni kwamba labda sasa hivi mzunguko wa mauaji ya Polisi yamekufikia kwa hiyo unaona kama Tanzania uliyokuwa unaijua imebadilika, ukweli ni kwamba hamna jipya, kwetu kuna kambi ya Jeshi wanajeshi wakimaliza tu mafunzo breki ya kwanza Uraiani kupiga na kujeruhi na mara nyingi kuuwa raia, hiyo imekuwa ni kawaida, tangu mimi niko mdogo mpaka leo hii nimekuwa mtu mzima hakuna lililobadilka isipokuwa propaganda tuu!
unamaanisha nini au unataka kumsema yupi kuwa anatumia kalamu kupata madaraka?
unamaanisha nini au unataka kumsema yupi kuwa anatumia kalamu kupata madaraka?