Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Shida sio POLISI ni watawala wa nchi.Kinachoendelea sasa kwa jeshi letu la polisi ni muendelezo tuu wa haya!.
Sisi wanahabari, tulipaswa kuyakemea matendo haya maovu ya polisi wetu tangu kitambo, na sio sasa ndio tunapiga mayowe kwa nguvu as if polisi wetu ndio wameanza leo!, najua kelele zimezidi kwa sababu ni sisi waandishi, ila polisi walipaswa kushukiwa siku nyingi, kwa sababu hizi ndio zao, kila siku wanawafanyia raia vitendo hivi, sisi kama waandishi, kazi yatu ni kutafuta angle nzuri, kupuga picha na kuripoti as if the police were doing the right thing!, mpaka walipotushukia sisi waandishi ndipo tunazinduka!.
Pasco
Rais na PM wakikataza wasiuwe watu wataacha.
Wanafurahisha wakubwa kwa umwagaji wa damu za watu.
Nani awakemee??