bavitamlewa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 270
- 212
Jamaa hajielew, mnyika hayupo ubungo ypo kbamba, ka hlo hjui cjahangaika ata ksoma content yko
Kweli nimeamini jina linaumba, kama jina lako lilivyo ndivyo akili pia ilivyo. We ni jinga jinga jinga lao kabisa...Naona UKAWA wako kwenye mihemuko na kusherehekea mabilioni waliyohongwa huku wakisahau kuwa jimbo la Ubungo limeshapata muarubaini wa maendeleo ndugu Didas Masaburi.
Mnyika atatakiwa kukabidhi jimbo kwa Masaburi.
Mnyika atakuwa ametambua nani ni dhaifu kati ya JK na Mbowe!
Na tuombe kuwa hili Liwe ni jina lake pekee, kama ni la ukoo basi hayo ni majanga kuwa na ukoo uliojaa watu kama yeyeKweli nimeamini jina linaumba, kama jina lako lilivyo ndivyo akili pia ilivyo. We ni jinga jinga jinga lao kabisa...
Naona UKAWA wako kwenye mihemuko na kusherehekea mabilioni waliyohongwa huku wakisahau kuwa jimbo la Ubungo limeshapata muarubaini wa maendeleo ndugu Didas Masaburi.
Mnyika atatakiwa kukabidhi jimbo kwa Masaburi.
Mnyika atakuwa ametambua nani ni dhaifu kati ya JK na Mbowe!